Uchaguzi 2020 Rais Magufuli anakosea kwa kuamini kuwa anaweza wachagulia wabunge kwenye majimbo yao

Wapiga kura hawana chao.. Kwa mfumo wa wizi wa awamu hii, hao anaowataka hata kura zisipotosha watatangazwa kuwa washindi tuu
 
Katika kitu ambacho hakinipi stress ni siasa kabisaaa. Hata kama Wasukuma wawe maraisi wote, bado nitakula kwa jasho langu pekee
 
100% naunga mkono! Yani pamoja na kujimwamba kuwa yeye ndiye alfa na omega, yeye ndiye mwisho wa reli. Bado ameanza kuwafanyia kampeni baadhi ya wakataliwa kwenye majimbo yao. Kwanini asiwaache wakataliwe na wananchi then yeye awarudishe!!
 
Mawe anafeli maana hili alilitabiri Nyerere,usichagulie watu wagombea!

Yeye anaenda kinyume,anachagulia watu wagombea...

Anapigwa kilio kisichokua na msiba!
 
Hao waarabu wako, usidhani walikuwa wakipita kwa haki! Ni rushwa! Ndio maana nashangaa leo kujua huyo ndo mbunge wao, maana haongeagi chochote bungeni
Inabidi vijana wachangamkie tenda.
Kipindi cha jpm nichawanyonge! Naatakumbukwa nchi hii.
 
CCM watapata taabu sana kwa huyu buana afadhari upinzani wao angalau walishazoea manyanyaso, lakini hawa ambao wamo ktk chama ambacho wamekiuza bei poa kwa watu wa kolomije na Burigi jamaa kawageuza kama magunia ya magimbi.

Katika zama hizi pamoja na kwamba ccm ndo walifanya figisu hadi katiba ya Warioba kupigwa chini kivumbi walichotimuliwa msimu ulopita na tope watakalomwagiwa msimu ujao hakika wao ndo watakuwa wa kwanza kuomba katiba mpya maana watakuwa wamenyooka.
Mbunge aliemaliza muda wake ktk jimbo niliko kila wakati alikuwa hakosi kupita kwa wapiga kura wake sasa hivi kalowana kawa mpole kama kafunikwa na barafu na hii ni baada ya kupenyezewa kuwa jina lake halitarudi.

Kwa taarifa zilizopo ni kwamba hatohamia upinzani ila kuna vikao vianfanyika usiku na mchana kuhakikisha uasi ili huyo atakaeletwa ashindwe octoba 2020.
 
Walidhani namba tutaisoma wapinzani pekee?

Sasa wanaisoma na wao wanaccm wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…