Kama ilivyokuwa uchaguzi sm na huu wajipitishe wenyewe ili vioja vinavyoendelea mitaani viwape wananchi maamuzi, maana upinzani ni uadui na fisiemu ndio wazalendo na watanzania kuliko watanzania wengine!!!Tafsiri ya neno demokrasia ni kiongozi aliyechaguliwa na watu katika uchaguzi ulio huru na wa haki kwa ajili ya kuwatumikia watu
Tumemsikia wenyewe Rais Magufuli katika ziara yake akiwa huko Kimamba-Kilosa, mkoani Morogoro akiwaambia wakazi wa huko kuwa eti walikosea kumchagua mbunge wao, kwa kuwa walimchagua kwa jazba, bila ya kutafakari na ndiyo sababu inayowapata wakazi wa huko wakose maendeleo!
Ni jambo lililonistua sana niliposikia kauli hiyo kwa kuwa ninajua kuwa mbunge wa Kilosa ni mwanaccm mwenzao, kwa kuwa nilizizoea kauli hizo za Mheshimiwa Rais akizitoa kwenye majimbo waliochagua wabunge wa upinzani
Nika-realize kuwa kumbe kauli aliyowahi itoa Mwalimu Nyerere ni ya kweli tupu kuwa mtu aliyeanza kula nyama ya mtu hataweza acha kuila kamwe!
Ubaguzi aliouanza Jiwe wa kuwabagua wapinzani sasa umeingia kwenye CCM yake!
Nikakumbuka kauli aliyowahi itoa siku chache za nyuma, kuwa matokeo ya kura za maoni za majimbo za CCM si lolote wala chochote safari hii, kwa kuwa itategemea yeye kama Mwenyekiti ameamkaje siku hiyo, kwa kuwa upo uwezekano, hata kama umeshinda kwenye kura za maoni kwenye jimbo lako, lakini Kamati Kuu isilirudishe jina lako kwa kuwa litakuwa limekatwa na bila kutolewa sababu zozote zile
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi kuna haja gani ya kuitisha kura za maoni za CCM, iwapo kumbe inaeleweka, kura hizo si lolote wala chochote, kwani safari hii, Mwenyekiti wa CCM ndiyo "atakayeamua" nani awe mgombea wa ubunge wa jimbo husika?
Dalili zimeshaanza kujitokeza kutokana na hizo ziara za Rais majimboni na "kuwachagulia" wabunge huko majimboni mwao.
Ili tufahamu kuwa Mwenyekiti wetu tayari ana majina yake mfukoni, hebu nijaribu kuwakumbusha namna huyo Mwenyekiti wetu alivyoweza "wachagulia" wabunge kwenye majimbo yao.
Tulimsikia wenyewe Rais wetu akiwaambia wakazi hao wa Kimamba-Kilosa, kuwa "amemu-import" toka Dodoma, Mbunge atakayewafaa, Profesa Palamagamba Kabudi, ili awe Mbunge wao
Akaendeleza hizo "tamaa" zake Rais alipofanya ziara ya mikoa ya Kusini akiwaambia wakazi wa huko, wamchague msanii anayevaa "milegezo" Harmonize awe mbunge wao kwa jimbo la Tandahimba!
Hakuishia hapo, bali alipotembelea jimbo la Kongwa, aliwaomba wakazi wa huko wasikose kumchagua mbunge wao Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, ingawa kwa "body language" yao wananchi wa huko walionyesha kumkatalia pendekezo lake hilo
Aliendelea "kuwachagulia" wananchi Mbunge wao pale alipotembelea jimbo la Mbeya mjini, akawaomba wakazi wa huko wamchague kuwa mbunge wao, Naibu wa Spika, wa Bunge letu la Jamhuri, Tulia Ackson, kwani yeye anaamini huyo mwanamama, ndiyo "the right choice' kwa wana Mbeya!
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi wanaccm wa majimboni mna haja gani ya kupiga kura za maoni yenu huko majimboni kwenu, kwa kuwachagua wabunge wenu, wakati mnajua kuwa Mwenyekiti wenu tayari ana majina yake "mfukoni" ya wabunge wake anaotaka yeye wawe wabunge wa Bunge lijalo la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Ndio keshaanza kuwachagua hivyo...Inabidi kama Taifa tuondoe woga huo unaosema...........
Kwa kuwa haiwezekani kwa Rais wa nchi ndiyo atuchagulie wabunge wote wa majimbo nchini!
Ni rahisi kusema hivyo lakini matendo yanasema vingine? Tuambiane ukweli, ni wangapi wanajifanya hawaoni natural arrogance ya Lissu huku wakitaka awe Rais?Muda wake utafika naye atatoka madarakani lakini tutakuwa tumeteseka sana ndani ya huu utawala wake pia tutakuwa tumejifunza kuwapa uongozi watu wa namna hii.
Ccm waliingia choo cha kike kumpa huyu mzee uenyekiti wa taifa wakati hakuwahi kuwa hata mwenyekiti wa wilaya. Kazi wanayoTafsiri ya neno demokrasia ni kiongozi aliyechaguliwa na watu katika uchaguzi ulio huru na wa haki kwa ajili ya kuwatumikia watu
Tumemsikia wenyewe Rais Magufuli katika ziara yake akiwa huko Kimamba-Kilosa, mkoani Morogoro akiwaambia wakazi wa huko kuwa eti walikosea kumchagua mbunge wao, kwa kuwa walimchagua kwa jazba, bila ya kutafakari na ndiyo sababu inayowapata wakazi wa huko wakose maendeleo!
Ni jambo lililonistua sana niliposikia kauli hiyo kwa kuwa ninajua kuwa mbunge wa Kilosa ni mwanaccm mwenzao, kwa kuwa nilizizoea kauli hizo za Mheshimiwa Rais akizitoa kwenye majimbo waliochagua wabunge wa upinzani
Nika-realize kuwa kumbe kauli aliyowahi itoa Mwalimu Nyerere ni ya kweli tupu kuwa mtu aliyeanza kula nyama ya mtu hataweza acha kuila kamwe!
Ubaguzi aliouanza Jiwe wa kuwabagua wapinzani sasa umeingia kwenye CCM yake!
Nikakumbuka kauli aliyowahi itoa siku chache za nyuma, kuwa matokeo ya kura za maoni za majimbo za CCM si lolote wala chochote safari hii, kwa kuwa itategemea yeye kama Mwenyekiti ameamkaje siku hiyo, kwa kuwa upo uwezekano, hata kama umeshinda kwenye kura za maoni kwenye jimbo lako, lakini Kamati Kuu isilirudishe jina lako kwa kuwa litakuwa limekatwa na bila kutolewa sababu zozote zile
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi kuna haja gani ya kuitisha kura za maoni za CCM, iwapo kumbe inaeleweka, kura hizo si lolote wala chochote, kwani safari hii, Mwenyekiti wa CCM ndiyo "atakayeamua" nani awe mgombea wa ubunge wa jimbo husika?
Dalili zimeshaanza kujitokeza kutokana na hizo ziara za Rais majimboni na "kuwachagulia" wabunge huko majimboni mwao.
Ili tufahamu kuwa Mwenyekiti wetu tayari ana majina yake mfukoni, hebu nijaribu kuwakumbusha namna huyo Mwenyekiti wetu alivyoweza "wachagulia" wabunge kwenye majimbo yao.
Tulimsikia wenyewe Rais wetu akiwaambia wakazi hao wa Kimamba-Kilosa, kuwa "amemu-import" toka Dodoma, Mbunge atakayewafaa, Profesa Palamagamba Kabudi, ili awe Mbunge wao
Akaendeleza hizo "tamaa" zake Rais alipofanya ziara ya mikoa ya Kusini akiwaambia wakazi wa huko, wamchague msanii anayevaa "milegezo" Harmonize awe mbunge wao kwa jimbo la Tandahimba!
Hakuishia hapo, bali alipotembelea jimbo la Kongwa, aliwaomba wakazi wa huko wasikose kumchagua mbunge wao Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, ingawa kwa "body language" yao wananchi wa huko walionyesha kumkatalia pendekezo lake hilo
Aliendelea "kuwachagulia" wananchi Mbunge wao pale alipotembelea jimbo la Mbeya mjini, akawaomba wakazi wa huko wamchague kuwa mbunge wao, Naibu wa Spika, wa Bunge letu la Jamhuri, Tulia Ackson, kwani yeye anaamini huyo mwanamama, ndiyo "the right choice' kwa wana Mbeya!
Ndipo hapo ninapojiuliza hivi wanaccm wa majimboni mna haja gani ya kupiga kura za maoni yenu huko majimboni kwenu, kwa kuwachagua wabunge wenu, wakati mnajua kuwa Mwenyekiti wenu tayari ana majina yake "mfukoni" ya wabunge wake anaotaka yeye wawe wabunge wa Bunge lijalo la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Ina maana hakuna tunachoweza kufanya so to get rid of this nonsense ?Muda wake utafika naye atatoka madarakani lakini tutakuwa tumeteseka sana ndani ya huu utawala wake pia tutakuwa tumejifunza kuwapa uongozi watu wa namna hii.
Hili ni moja ya taifa ambalo raia wake Wana upeo mdogo sana wa kufikiri, chukulia mfano wa Kabudi , Bashiru na wapuuzi wengineKuna wapuuzi watakuja hapa kumtetea. Subirini muone maajabu ya watanzania hawa
Elimu ya uraia imekupitia kushotoKatika kitu ambacho hakinipi stress ni siasa kabisaaa. Hata kama Wasukuma wawe maraisi wote, bado nitakula kwa jasho langu pekee
Elimu ya uraia imekupitia kushotoKatika kitu ambacho hakinipi stress ni siasa kabisaaa. Hata kama Wasukuma wawe maraisi wote, bado nitakula kwa jasho langu pekee
Yeye huyo ndie muasisi wa hii katiba ya sasa na alikusudia iendelee kubakia kama ilivyonyerere alisema kwa hii katiba tukipata kiongozi kichwa H2O tumekwishwa
Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
Wale wasiopitwa akina Magonjwa Mtambuka ,USSR ,Kawe Alumni AKA Bia yetu siwaoni kuja kutetea ayafanyayo Jiwe!Bandiko bora kabisa
Elimu ya uraia imekupitia kushoto
Tunafanyaje sasa mzee wangu?Ina maana hakuna tunachoweza kufanya so to get rid of this nonsense ?
ww unazani kulikuwa na humuhimu gani jana kuwaka kile kikao? wakati tunajuafika kabisa hakuna mtu mwengine alieyechukua form dhidi yake hela walizotumia jana situngezisave tufanye mambo mengine?Ni rahisi kusema hivyo lakini matendo yanasema vingine? Tuambiane ukweli, ni wangapi wanajifanya hawaoni natural arrogance ya Lissu huku wakitaka awe Rais?
Arrogant man + absolute power = ?
You do the math.
CCM haifi kwa utaratibu wa sasa kuelekea chama kimmoja.Lakini mashindano yatahamia huko huko CCM kuwania nyadhifa hizo hizo.Tarajia bunge dhaifu kuliko hili lilopita... Yaan bunge dhaifu litashindwA kuihoji serikali...
Na hapo mwisho wa CCM ndio utakuwa umeshawadia...
Huenda ni mkakati Maalum ili Ajaenda ya kumfanya awe Lifetime President isipate vikwazo pindi ikiwasilishwa Bungeni...Tarajia bunge dhaifu kuliko hili lilopita... Yaan bunge dhaifu litashindwA kuihoji serikali...
Na hapo mwisho wa CCM ndio utakuwa umeshawadia...