residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,008
- 14,522
Kuna tofauti kati ya kushinda na kutangazwa mshindi.
Kuna tofauti kati ya kushinda na kutangazwa mshindi.
Sasa Jana mbowe kamtukana nani? Tuwekee ushahidi hapaKazi ya Polisi kulinda sheria na amani, walioamua kuvunja sheria au amani kwa makusudi polisi lazima itawachukulia hatua. Na inavyoonekana baadhi ya viongozi wa CDM wameamua kutupilia mbali misingi ya ubinadamu na kuwa wakorofi. Myika alizuiliwa kufanya mkutano Kibamba, lakini hukuona yeye kufanya uhuni au kutoa matusi, lakini wengine wanakwenda misibani na kuanza kuigeuza kama mikutano ya kisiasa.
Kwani Mbowe amekatwa kwenye huo mkutano wa jana?Sasa Jana mbowe kamtukana nani? Tuwekee ushahidi hapa
Jinga sana....mbatia na siasa za mama Tanzania alizifanyia wapi na misukosuko gani alipata...siasa za ulaghai ndio unaziita siasa!?Unakimbila matusio badala ya kujieleza ukaeleweka (ndio haya J.Mbatia alalamikia). Swali ni jepesi sana, kwanini 2020 ni viongozi wa Chadema tu ndio wanakimbizana na polisi? Mbona wenginne wanaendelea na siasa zao kama kawaida?
Yaani Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiogope chama ambacho mwenyekiti wake ni Mbunge wa Jimbo tu na ambaye juzi alifurumushwa jukwaani na wapiga kura wake? Kweli maajabu hayataisha Tanzania!!Ndugu,
Nimeamini leo kuwa Rais Magufuli anaiogopa Chadema sana na kwanza hana ubavu wa kukaa nao meza moja.
Anaonekana mtu mwenye kinyongo sana na Chadema. Yupo tayari kuonana na viongozi wote Wa upinzani lakini sio Chadema.
Lakini pia nimejifunza kitu na ninapenda kuwataarifu kuwa Chadema isimchukue Membe kuwa mgombea wake bali iendelee na TL pekee, Membe ni mkakati na wao, sana lao moja.
Hata kama Membe akienda ACT basi Chadema isimamishe mgombea wake nimeshaona harufu ya kuivuruga Chadema kupitia Membe. Rais Magufuli ni muoga sana wa Chadema na ana kinyongo sana.
Swelana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mikutano pekee ndio siasa? huo ni uzamani
Yaani Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiogope chama ambacho mwenyekiti wake ni Mbunge wa Jimbo tu na ambaye juzi alifurumushwa jukwaani na wapiga kura wake? Kweli maajabu hayataisha Tanzania!!
Kwa suala la mvuto nakubali Chadema ina mvuto. Si hata kule Hai jimboni kwa Mwenyekiti Mbowe wapigakura wake juzi wamemuonesha mvuto wa hali ya juu! Ahahahahahah!!!!Ni kweli hamna dictator anamuogopa mbunge, sana sana anawachukia cdm kwakuwa wanamvuto kuliko yeye na chama chake.
Kwani kuingia kwenye siasa lazima upate misukosuko? Hizi ni siasa za kishamba. Mbona kuna wanasiasa wengi tu wanafanya siasa bila misuko suko yoyote. Nyalandu, Mnyika, Prof. Jay, Prof. Safari nk wamedumu kwenye siasa bila heka heka zisizo na msingi. Tuseme ukweli, wenzetu mnatua hizi pilika kupata huru ya wananchi.Jinga sana....mbatia na siasa za mama Tanzania alizifanyia wapi na misukosuko gani alipata...siasa za ulaghai ndio unaziita siasa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka Simbeye alisema nini kuhusu Mbatia.Tatizo kama hamsomi mtu magazetini na kumuona kwenye TV mnadhani hafanyi siasa. Siasa ina mambo mengi ikiwa pamoja na kufanya mambo nyuma ya pazia.Sio mikutano tu, hebu tuambie hizo siasa zake huwa anafanyia wapi? Na kipi kimemfanya aende kwenye mkutano leo baada ya kutoka ikulu jana?
Anaongea na.wapinzani.wanaojitambua sio hilo.genge la.wakora
Wewe endelea na mambo ya mumeo diamond platinumz huku huwezi haya mambo ya siasaChadema kwa kupenda sympathy wewe atauseme magu anawaogopa chadema hiyo haizuii yeye kuwa Raisi kwa awamu ya pili
Kwa suala la mvuto nakubali Chadema ina mvuto. Si hata kule Hai jimboni kwa Mwenyekiti Mbowe wapigakura wake juzi wamemuonesha mvuto wa hali ya juu! Ahahahahahah!!!!
Mgombea wa Chadema alipata zaidi ya kura mil10 2015 wa ccm alipata kura mil 3 unusu tu , hiki ndio chanzo cha siasa kuzimwa Tz , Kinana anajuta kushiriki wizi
Chadema ilipangiwa matukio mengi sana ya kuiua. Kama vile mwanachama wake Lisu alivyopangiwa kuuwawa. chadema haijafa na Lisu hajafa.Ana bahati mbaya sanaa manaake watanzania ndio tunaielewa vibaya Sana Chadema.ajinyonge tu kwakweli
Obviously hakubaliki unless utoe ushahidi kuwa wale vijana walitoka kwetu Mwanza. Kama ni wakazi wa hapo na wametumwa, Mbowe alienda kuwahutubia akina nani kama si wao?Bado mko kwenye zile siasa outdated, mnadhani mkituma watu kuvuruga mkutano wake ndio tutaingia hadaa kuwa hakubaliki?