Rais Magufuli anaiogopa CHADEMA sana

Rais Magufuli anaiogopa CHADEMA sana

Machozi yenu ya kuonewa huruma yanaonekana ulimwengu mzima. Mpaka leo 2020 Chadema ndio chama pekee bado kina mbinu za kizamani za kukamatana na polisi ili tu kipate huruma ya wanachi.
Ccm ya Leo Ni bure kabisa ,sifuri .CCM imebakiza njia moja tu ya kushinda uchaguzi njia hiyo Ni kuiba kura.ndio maana wakisikia tume huru wanajiharishia
 
Wekeni akiba ya maneno.
Kwani mmewasiliana na kurugenzi ya mawasiliano ya Ikulu au katibu mkuu kiongozi kujua kama hakuna utaratibu au nia ya Mh.Raisi kuja kuongea na CHADEMA siku zijazo?

Umewasiliana na uongozi wa juu wa CHADEMA kujua kama wamepewa mwaliko kama huo iwe leo au siku nyingine kwenda kuongea na Mh.Raisi?

Don't get ahead of yourself.
 
Ndugu,

Nimeamini leo kuwa Rais Magufuli anaiogopa Chadema sana na kwanza hana ubavu wa kukaa nao meza moja.
Anaonekana mtu mwenye kinyongo sana na Chadema. Yupo tayari kuonana na viongozi wote Wa upinzani lakini sio Chadema.

Lakini pia nimejifunza kitu na ninapenda kuwataarifu kuwa Chadema isimchukue Membe kuwa mgombea wake bali iendelee na TL pekee, Membe ni mkakati na wao, sana lao moja.

Hata kama membe akienda ACT basi Chadema isimamishe mgombea wake nimeshaona harufu ya kuivuruga Chadema kupitia Membe. Rais Magufuli ni muoga sana wa Chadema na ana kinyongo sana.

Swelana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mgombea wa Chadema alipata zaidi ya kura mil10 2015 wa ccm alipata kura mil 3 unusu tu , hiki ndio chanzo cha siasa kuzimwa Tz , Kinana anajuta kushiriki wizi
 
mtu Kama Seif kwa cheap politics za divide and rule, mikutano hii ya Leo ina lengo la ku gain international recognition kwamba sasa Tanzania wote wanaongea lugha moja na wamekaa pamoja, kwamba democracy imerudi tz kitu ambacho si kweli na all international bodies wanajua hilo ni political tactics tu na tutazishuhudia sana kipindi hiki, zzk amekutana na TL Mara kadhaa katika kuweka mikakati ya kisiasa, tutulie tuache kuhukumu, mambo mazuri yanakuja.
Sina hakika sana na Seif au Lipumba.

Ninahakika Seif akipewa 'umakamu' kazi kwisha.

Lipumba ni millioni kadhaa tu anapiga tarumbeta kwa hao 'international' unaowazungumzia hapa.
 
Ndugu,

Nimeamini leo kuwa Rais Magufuli anaiogopa Chadema sana na kwanza hana ubavu wa kukaa nao meza moja.
Anaonekana mtu mwenye kinyongo sana na Chadema. Yupo tayari kuonana na viongozi wote Wa upinzani lakini sio Chadema.

Lakini pia nimejifunza kitu na ninapenda kuwataarifu kuwa Chadema isimchukue Membe kuwa mgombea wake bali iendelee na TL pekee, Membe ni mkakati na wao, sana lao moja.

Hata kama membe akienda ACT basi Chadema isimamishe mgombea wake nimeshaona harufu ya kuivuruga Chadema kupitia Membe. Rais Magufuli ni muoga sana wa Chadema na ana kinyongo sana.

Swelana.

Sent using Jamii Forums mobile app
unakichaa
 
Mgombea wa Chadema alipata zaidi ya kura mil10 2015 wa ccm alipata kura mil 3 unusu tu , hiki ndio chanzo cha siasa kuzimwa Tz , Kinana anajuta kushiriki wizi
Hiyo ni kwa mujibu ya takwimu kutoka kajunju.
 
Unakimbila matusio badala ya kujieleza ukaeleweka (ndio haya J.Mbatia alalamikia). Swali ni jepesi sana, kwanini 2020 ni viongozi wa Chadema tu ndio wanakimbizana na polisi? Mbona wenginne wanaendelea na siasa zao kama kawaida?
Sasa Kama hujui ni kwanini polisi inapambana na Mbowe badala ya Mrema au Lipumba katika akili ya kawaida tu nikusaidiaje? Unaonekana ni punguwani usiejielewa.
 
Hili liko wazi, anachuki ya wazi dhidi ya Chadema.

Ndio maana aliidhinisha mbunge wake apigwe risasi 38 hadharani!

Na ninafikiri anaufahamu ubora wa Chadema kama chama kinachojitambua na kupendwa kuliko vingingine ikiwemo CCM, kwakuwa ameumbwa na roho mbaya anachukia badala ya kutafakari njia za kukiboresha chama chake... anajenga chuki, hofu na ushamba tu dhidi ya CHADEMA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu,

Nimeamini leo kuwa Rais Magufuli anaiogopa Chadema sana na kwanza hana ubavu wa kukaa nao meza moja.
Anaonekana mtu mwenye kinyongo sana na Chadema. Yupo tayari kuonana na viongozi wote Wa upinzani lakini sio Chadema.

Lakini pia nimejifunza kitu na ninapenda kuwataarifu kuwa Chadema isimchukue Membe kuwa mgombea wake bali iendelee na TL pekee, Membe ni mkakati na wao, sana lao moja.

Hata kama membe akienda ACT basi Chadema isimamishe mgombea wake nimeshaona harufu ya kuivuruga Chadema kupitia Membe. Rais Magufuli ni muoga sana wa Chadema na ana kinyongo sana.

Swelana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli amuogope Mbowe? Mbowe anayeogopa hata kupeleka barua ya maoni yake Ikulu anaamua kuyasomea barabarani. Wenye akili za namna hii huwaiti Ikulu unakaa kimya au majibu yake unawapatia hukohuko mtaani. Unaongea na wenye busara.

Kweli, imefika mahali Mbowe kwa akili zake anamtoa amri mwenyekiti wa CCM atokee jukwaani kwenye mkutano wa Chadema? anatafuta nini hapo? Ulimualika? Kuna shida.
 
Mkuu sikubaliani na wewe kuwa anaiogopa cdm, haogopi kwa lolote kwakuwa yeye ndio mwenye dola. Magufuli haipendi cdm kabisa na anaichukia kupita kiasi, ni kwamba tu anakosa sababu iliyoonyooka ya yeye kuifuta. Sababu anajua fika cdm ndio yenye mvuto kwa wananchi hasa vijana. Anadhani akiihujumu cdm basi anaamini automatically watu watapenda ccm kitu ambacho kashindwq, anatamani sana cdm inavyopendwa, ccm chini yake ingependwa hivyo. Hata hili la Katazo la mikutano ya vyama vya siasa mlengwa haswa ni cdm. Na hata haya manunuzi ya wapinzani 90% ni wa cdm akiamini anaowanunua watahamishia mvuto huko ccm. Na hadi wakati anatoka madarakani cdm haitakaa itendewe haki. Asichokijua ni kuwa anashindana na wakati na kanuni ya muda kuwa kitu kikikaa muda mrefu watu hukichoka.
Anaiogopa hasa akikumbuka matokeo ya 2015 kutangazwa bila kushinda.

Huwa anajiuliza yale yalikuwa mafuriko ya lowassa au Ni chadema in blood. Magufuli hana chake, watumishi wote hawatampa kura, wafanyabiashara, wakulima wa korosho na kakao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom