mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,662
- 2,325
CDM gani inayoogopwa..? Hii hii iliyobakiwa na watu watano..? Ambao ukiwauliza ivi itikadi na sera yenu ni ipi ? Kila mmoja hajui anapigania nini ...!! Majibu ndio kichekesho..!! Kuna mmoja anaweza kusema hatuzitaki ndege na mwingine SGR ndio adui wetu, na mwingine aweza sema chanzo cha matatizo yetu ni ' interchange inayojegwa ubungo ' ..... mimi binafsi nachukia sana CDM kuua upinzani ambao ulijengwa kwa gharama kubwa sana huko nyuma...Kazi ya kuujenga upya Upinzani sio lelemama... Haya Membe huyooo wasije wakatangaza ku change gear ANGANI ....!!
Umeongea utoto gani dogo?