Uyu alishastaafu kwa mujibu wa sheria yupo kwa mkatabaHvi kustaafu ni kwa mujibu wa sheria au ni neno la mkuu.
Au mi sijaelewa nini?
Ni hivi, mkuu alisema wakimaliza uhakiki wa vyeti wanaanza uhakiki wa umri. Yeye keshahakiki umri wa Mtalemwa kasema umeenda hata kama ana umbo zuri.Hata mkimuweka malaika dawasco/dawasa serikali na wizara zisipoamua kufumua mfumo wa zamani wa maji wa jiji mtakuwa mnafanya kazi bure.... Unahitaji uwekezaji wa pesa nyingi sana.
Amepewa heshima aondoke kwa amani apate mafao badala ya kuwa fired.
Wewe una akili ndogo kama Profesa Muhongo, Rais akikupa fursa hiyo kama upo karibu mkabidhi baruwa hapohapo ya kujiuzuru, au omba mic ujiuzulu kwa mdomo hadharani then baruwa ifuate.
Kwa hiyo jamaa ufisadi wote wa DAWASCO anaujua mwanzo mwisho.!Duuuuh tokea 1993 ni CEO
Nitashangaa kama kesho ataingia ofisini kufanyakazi badala ya kukabidhi resignation letter with immediate effect.Kwa hiyo jamaa ufisadi wote wa DAWASCO anaujua mwanzo mwisho.!
Ww ni pinga pinga ...hunaga jema.....kama unakwazika na utawala huu ....hamia nchi zingineTumechoka na hii tabia!
So SAD mkuu...bora hata angemstaafisha kimya kimya...hata kwa familia yake ni huzuniHalafi Camera ndo zikawa zaelekezwa kwa Mutalemwa,maskini jamaa anacheka cheka tu huku kashika kalamu akijifanya kuandika andika kwenye ki note book,kiubinadamu ni ngumu kumeza dah mbele ya watu wengi namna ile.
Heshima kwenu mkuu,
Leo rais Magufuli amezindua Mradi wa Maji wa Ruvu. Katika Hotuba yake, amemtaka Mtendaji mkuu wa DAWASA kujistaafisha kama vipi atatumika kwenye kazi nyingine. Mutalemwa kwa kihaya ni mtu ambaye hakataliki. Sasa Mimi ni Mzilankende na ni Muyango sasa usije ukasubiri hadi ukakatalika(Ukalemwa). amesema Magufuli.
View attachment 528238
Mimi nina data zako zote ndo maana nazungumza kwa polite language hapa. Inawezekana Waziri akawa rafiki yako kama Mawaziri wote walivyokuwa marafiki zako, hilo nalo ninalijua. Lakini Muzilankende this is your time. Umefanya kazi nzuri, Waachie vijana ili tudeal nao, tufukuzane nao, Nadhani umenielewa. Usije ukasema (ubwato bufa magoba au kasukamile ibale katalasyaka kasumbikumgurusi?) sina uhakika na maneno.
"Lakini wapo watu wanauliza, Mutalemwa atasitaafu lini? Mimi Mutalemwa nmeanza kumsikia nafikiri bado nikiwa Sekondari. Waziri, mimi napenda kuzungumza kwa Uwazi tu, ndugu yangu mzilankende Mutalemwa, jiandae kustaafu Unaweza ukawa na umbo zuri ambalo halizeheki, lakini Umri huwa unaenda, angarau tukutumie katika majukumu mengine. Unajua jina nalo likizoeleka mahali fulani hata kama ulikuwa mzuri unaweza ukatafutiwa dhambi.
Sasa nikuombe ndugu yangu Mutalemwa with due respect kwa kazi nzuri uliyoifanya, Jiandae kustaafu haraka kabla mabaya hayajakufuata hapo" amesema rais Magufuli. Mimi nazungumza haya naomba mnisamehe ndugu zangu kama ntawakwaza lakini napenda nizungumze ukweli.
My take:
Huyu Eng Archard Mutalemwa amewahi kuwa na kashifa nyingi sana. Aliwahi kushutumiwa kusambaza maji yasiyo na dawa (1993) wakati akiwa NUWA akaundiwa tume na kuthibitishwa ni kweli. Waziri wa Maji wakati huo alikuwa JK, afya akiwa Meghji.
Aliwahi kushutumiwa kusasababisha NUWA kufunguliwa kesi na wakazi wa Sinza baada ya taarifa hizo? Wakazi hao walitetewa na Wakili (sasa marehemu Julius Ndyanabo)?
Wakati akiwa NUWA ilikuwa inatuhumiwa kununua madawa ya maji yasiyofaa mara kwa mara na tuhuma za ubadhirifu lukuki?
Hivi huyu ni Archard Mutalemwa yupi DAWASCO?
Halafu ukimuangalia jpm ndo inaonekana Mzee kuliko Jamaa!Mkulu hata kama angekuwa yeye,JK anamwambia mbele za watu kuwa kakaa sana wizara ya ujenzi hivyo sasa aondoke aachie vijana,angejisikiaje,kuna Vitu vingine JPM anakosea kwa kweli,Mutalemwa leo lazima yupo down,yaani si kwa kuambiwa ajiondoe kila baada ya dakika tano jina lake linatajwa akiambiwa kazeeka jamani,nikimwangalia hata 60 hajafika yule.
Mkuu ukiomba MIC utatisha sanaAmepewa heshima aondoke kwa amani apate mafao badala ya kuwa fired.
Wewe una akili ndogo kama Profesa Muhongo, Rais akikupa fursa hiyo kama upo karibu mkabidhi baruwa hapohapo ya kujiuzuru, au omba mic ujiuzulu kwa mdomo hadharani then baruwa ifuate.