Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,085
- 31,717
Dah ila siasa .....
Ungesema tu mkuu,sasa ni wakati wetu.
Dah ila siasa .....
Hata mi naamini hivyo,..ile kesi yake haikuhusu UFISADI?
..binafsi naiheshimu hukumu ya mahakama dhidi yake.
..lakini sikubaliani na hukumu ile.
..hivyo nishikilia msimamo wangu kwamba Prof ni fisadi.
ww umezaliwa juzi, uliza kwa unyenyekevu ujibiweMaagizo ya Mwana Masasi
Lini aliondolewa hadhi hiyo?
ww umezaliwa juzi, uliza kwa unyenyekevu ujibiwe
Hata mi naamini hivyo,
Ile kesi ilianza kua ngumu kwa Upande wa washitaki pale tu BWM alipoingilia kati.
Regardless of content ya Utetezi wake BWM, ile tu kwamba ye ni shahidi wa Mahalu tayari inampa nguvu mahalu dhidi ya Upande wa Serikali
sijaona ulichoandika ambacho sikifahamu, fuatilia nyuzi ambazo mleta uzi amezipin, zipo ambazo niliwasilisha mwenyewe kwa account nyingneHajawahi kuvuliwa Ubalozi
Alisimamishwa hadhi ya Ubalozi kufuatia tuhuma zile ambazo ilikuwa dhahiri zinampeleka Gerezani ikabidi Mkapa amuokoe Kwa kusema Yeye ndie alimuagiza akiuke taratibu za Manunuzi kununua Jengo la Ubalozi na Mkapa alifanya vile Kwa kuwa alijua Yeye ana kinga ya kutoshtakiwa!
Hadhi ya Ubalozi hakuvuliwa Bali alisimamishwa kutumia status hiyo na hiyo Ni taratibu ya kidiplomasia ukiwa na tuhuma zenye nature ya kazi yako
Baada ya kushinda kesi ile automatic hadhi ile huwa anarudishiwa na kilichofanyika Leo Ni Kick ambayo imewazoa vilaza wengi ukiwemo Wewe
Alisimamishwa kutumia hadhi hiyo 2007
none senseUkiachana na hayo ile kesi yake imetengeneza precedent kwa mambo mengi kisheria.
ccm na upuuziRais John Magufuli amemrudishia hadhi ya ubalozi Profesa Costa Mahalu kuanzia leo, Katibu Mkuu Mambo ya Nje, Adolf Mkenda amesema.
Katika taarifa aliyoitoa, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, amemrudishia Profesa Costa Ricky Mahalu hadhi ya ubalozi kuanzia leo tarehe 17 Machi, 2018. Profesa Mahalu alisimamishwa kazi na kuvuliwa hadhi ya ubalozi mwaka 2007 kufuatia kufunguliwa mashtaka ya jinai na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo mwaka 2012 mahakama ilitoa hukumu kwamba Profesa Mahalu hakuwa na hatia.
Kulingana na taratibu za utumishi mtu yeyote ambaye amewahi kutumikia katika cheo cha balozi anaendelea kupewa hadhi ya kuitwa balozi maisha yake yote. hata baada ya kustaafu kwenye utumishi wa umma. Kufuatia uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Profesa Mahalu sasa ataendelea kuwa na heshima ya kuitwa balozi.
Profesa Costa Mahalu alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Kabla ya kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi kwa kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya TSh 2 bilioni kesi ambayo alishinda.
Habari zaidi, soma=>(Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia
Benjamini Mkapa atinga mahakamani kutoa ushahidi kesi Ya Balozi Profesa Costa Mahalu
Profesa Costa Mahalu aibwaga serikali kortini
Ila tuseme kweli Mkwere alikuwa na kinyongo sana kuliko huyu
Naona siku hizi umeamua kutafuta shari tu. ..Hapa lazima watu waseme ukabila umechangia.
Mahalu ni Msukuma!
Tena ni jirani yangu wa zamani pale Simba Road!
Naona siku hizi umeamua kutafuta shari tu. ..
Mnafiki sana yule mzee,anajifanyaga ye ni full anacheka cheka tu.Yule mswahili wa Msoga alimpokonya kwa hila