Mkwere katukosea nini sisi wamasai? Labda wameru waishio MonduliUnafikiri akina lusungo watamsamehe! Never! damage aliyowafanyia ni beyond repair. Inabidi Mkwere abebe kijiji wakaombe msamaha wamasai wote Monduli ....
Mkwere katukosea nini sisi wamasai? Labda wameru waishio MonduliUnafikiri akina lusungo watamsamehe! Never! damage aliyowafanyia ni beyond repair. Inabidi Mkwere abebe kijiji wakaombe msamaha wamasai wote Monduli ....
Kwahiyo unataka kusema mramba na yona hawakustahili kupandishwa mahakamani?
Prof. Mahalu ndiye alimpeleka Magufuli kwa Mkapa baada ya kushinda ubunge na kumwomba amlee. Mkapa akampa kuwa naibu waziri.
Magufuli kakaa kwa prof. Mahalu alipojiunga udsm. Kuna kipindi alikuwa anakaa kwa Mahalu kama mdogo wake.
Undugu wao ni kuanzia kule Sengerema. Hao ni ndugu kabisa.
Mkapa na Mahalu ni kitu kimoja. Urafiki wao ulianza pale wizara ya elimu ya juu. Wakati Mkapa ni waziri na Mahalu ni mkurugenzi wa elimu ya juu.
Kulikuwa na nguvu kubwa ya Wazanzibari pale. Katibu mkuu akiwa Bilali alikuwa na nguvu kuliko waziri kwasababu alikuwa na access ya moja kwa moja kwa rais Mwinyi. Hata Idara ya elimu ya juu ilijaa Wazanzibari. Mkapa na Mahalu wakawa pamoja.
Kwa kifupi ni hivyo.
Acha kabisa....Hahaha ....kuna watu wachache wanajua mzunguko wa siasa zetu. Labda siku moja hii chain itakufa tuanze upya
Rais John Magufuli amemrudishia hadhi ya ubalozi Profesa Costa Mahalu kuanzia leo, Katibu Mkuu Mambo ya Nje, Adolf Mkenda amesema.
Katika taarifa aliyoitoa, amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, amemrudishia Profesa Costa Ricky Mahalu hadhi ya ubalozi kuanzia leo tarehe 17 Machi, 2018. Profesa Mahalu alisimamishwa kazi na kuvuliwa hadhi ya ubalozi mwaka 2007 kufuatia kufunguliwa mashtaka ya jinai na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hata hivyo mwaka 2012 mahakama ilitoa hukumu kwamba Profesa Mahalu hakuwa na hatia.
Kulingana na taratibu za utumishi mtu yeyote ambaye amewahi kutumikia katika cheo cha balozi anaendelea kupewa hadhi ya kuitwa balozi maisha yake yote. hata baada ya kustaafu kwenye utumishi wa umma. Kufuatia uamuzi wa Mheshimiwa Rais, Profesa Mahalu sasa ataendelea kuwa na heshima ya kuitwa balozi.
Profesa Costa Mahalu alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Kabla ya kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi kwa kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya TSh 2 bilioni kesi ambayo alishinda.
Habari zaidi, soma=>(Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia
Benjamini Mkapa atinga mahakamani kutoa ushahidi kesi Ya Balozi Profesa Costa Mahalu
Profesa Costa Mahalu aibwaga serikali kortini
Silaha kubwa ambayo JK ameitumia kwa wabaya wake ni kuwaweka karibu yake huwa haonyeshi hisia zake waziwazi kuwa amegombana na mtu na hii imemfanya JK kuwashinda wengi sana.Mwandosya alipewa hadi wizara maalum