Raisi aligoma kutoa pesa bila wao kukamilisha nyarakaYalizuiwa vip na chama chake ilihali spika aliiandikia familia yake kwamba rais amegoma kusign
Raisi aligoma kutoa pesa bila wao kukamilisha nyarakaYalizuiwa vip na chama chake ilihali spika aliiandikia familia yake kwamba rais amegoma kusign
HUU NI UUNGWANARais wetu ni mtu mwenye utu ni mtu wa watu na mkristo halisi leo amepigia simu Zitto Kabwe aliyepata ajali hapo jana na kumtakia maendeleo mema apone haraka aje wajenge nchi.
Pia rais amewashukuru manesi na madakari waliomtibu Zitto haraka kuwa huo ndio uzalendo halisi
Maendeleo ya vitu haya
USSRView attachment 1592729
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana, tukiachana na mambo ya itikadi na mengine ya kisiasa kuna sababu nyingi za kiutu za kutokumpigia kura Magufuli.Hata shetani anawafuasi wake, hivyo kura atapata nyingi tu.
zitto ni mzalendo katibiwa hospital ya umma kapanda ambulance ya umma, yule jamaa aliumia enka ya mguu kakimbilia zahanati ya mtu binafsi kuchua,Lengo ni la kisiasa ziaidi kuliko utu ndio maana tunataarifiwa na ikulu kuwa kampigia simu!
Hakuna cha huruma wala nini,Jiwe ni katili wa kutupwa!
Magufuli hii roho aliirithi wapi ?Vip na lisu alimpigia simu?
Vip matibabu ya lisu nani alizuia?
NB:Ogopa sana mtu mnafiki anaweza akakuua huku anakuchekea
Kwanini atangazee?Rais wetu ni mtu mwenye utu ni mtu wa watu na mkristo halisi leo amepigia simu Zitto Kabwe aliyepata ajali hapo jana na kumtakia maendeleo mema apone haraka aje wajenge nchi.
Pia rais amewashukuru manesi na madakari waliomtibu Zitto haraka kuwa huo ndio uzalendo halisi
Maendeleo ya vitu haya
USSRView attachment 1592729
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Lais=raisAkika tumepata lais aliyejaa loho ya huluma na upendo
Utampigiaje mtu kumpa pole wakati usiku na mchana anakutukana na kukuchonganisha na mabeberu?Mbona hakuwahi kumpigia simu Tundu Lissu alipokua mgonjwa na akampoka ubunge pia.
Duh, kumbe hujui kiswashili kiasi hikiAkika tumepata lais aliyejaa loho ya huluma na upendo
Lais??🤣 Ndio maana kumbe popoma hivi??Akika tumepata lais aliyejaa loho ya huluma na upendo
Then what's next?Hata Lissu aliposhambuliwa, Magufuli aliandika twitter kuelezea masikitiko yake/kuguswa na tukio lile na kutaka vyombo vya dola viwasake wahusika wa lile tukio.
We unakijua hicho "kiswashili"?Duh, kumbe hujui kiswashili kiasi hiki
Ajali inaweza kuwa Siyo ya bahati mbaya. Huwezi kuwaamini CCM hata Siku moja.Ni kawaida mchawi kulia sana au kulia wa kwanza kwenye msiba au kifo
Vip na lisu alimpigia simu?
Vip matibabu ya lisu nani alizuia?
NB:Ogopa sana mtu mnafiki anaweza akakuua huku anakuchekea
Hasa hasa Mbatia mzee wa mama TanzaniaAache unafiki, kwake kuwa MPINZANI ni kitendo cha kibeberu, anataka wapinzani aina ya Mrema, Mbatia na Cheyo.
Lini kajenga hospitali yake huyu tangu aingie madarakani? Ana hela ya kujenga hospitali au kulipa mishahara ya madaktari? Acheni kumvimbisha kichwa huyo KICHAA!Hapo kwenye kuwashukuru madaktari ni kama dongo kwa Zitto
Hapo anajaribu kumwonyesha kuwa pamoja na kunipinga lakini hizo Hospital nilizojenga ndio zimechangia kuokoa maisha yako.
Nimewaza tu.
Loho ndio jitu gani?Akika tumepata lais aliyejaa loho ya huluma na upendo
Mwaambie aache kujipendekeza Zitto kasema Meko hajawahi peleka maendeleo KigomaRais wetu ni mtu mwenye utu ni mtu wa watu na mkristo halisi leo amepigia simu Zitto Kabwe aliyepata ajali hapo jana na kumtakia maendeleo mema apone haraka aje wajenge nchi.
Pia rais amewashukuru manesi na madakari waliomtibu Zitto haraka kuwa huo ndio uzalendo halisi
Maendeleo ya vitu haya
USSRView attachment 1592729
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app