johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,963
- 141,963
Kuunga Juhudi Ilikuwa Wapinzani hasa kutoka CHADEMA wanajisajili kwa komredi Polepole na kuhamishiwa CCM ambako walipewa Vyeo na zawadi nyingine.
Maridhiano ndio kama Mbowe, Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Hamad Rashid wanakula Mema ya nchi bila kuhama Vyama vyao.
Unadhani mfumo upi utatupatia maendeleo kwa haraka katika kutekeleza Ilani ya CCM kwa pamoja?
Maridhiano ndio kama Mbowe, Zitto Kabwe, Tundu Lissu na Hamad Rashid wanakula Mema ya nchi bila kuhama Vyama vyao.
Unadhani mfumo upi utatupatia maendeleo kwa haraka katika kutekeleza Ilani ya CCM kwa pamoja?