residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Genious kwa kuacha "chagua la watu wengi" na kumpa chaguo la watu wanne?Hapo ndo mjue Raisi Magufuli ni genius, unaweza ukazani kamsahau mtu ama kamuonea kumbe anampango naye mwingine mkubwa, mfano ni huyo Steven Masele.
Ambaye anaweza kuwa balozi kuwakilisha nchi kwenye taifa jingine, ama SADC, AU, na UN.