tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,115
- Thread starter
- #21
Bavicha wanatatizo la kuwa na kumbukumbu fupi. Si ndio nyie mlikua mnatuambia kuwa Lema ni Mandela wa Tanzania au mlikua mnatania??
Kwa hiyo baada ya bavicha kumlinganisha Lema na mandela rais Magufuli amewajibu kwa kumlinganisha Nyerere na Mseven??
Kosa halijibiwi na kosa. Hasa kwa mtu mwenye hadhi kama ya Magufuli. Sio mbaya sehem nyingine ukakaa kimya kuliko kila uz kumtetea mtakatifu huyu.