Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

Hajamaliza kuunda serikali yake akimbilie CHOGM akafanye nini? Mwacheni amalize shughuli za nyumbani ambazo ndizo zitaweka dira ya yatakayojitokeza, kaangalia agenda, ya nyumbani muhimu zaidi.

BTW: He is not going to jump, because Tom, Dick and Harry are attending.
 
Ngoja ajifunze Kiingereza kwanza!

No, anabana matumizi bana, unless hujui Rais anatumia kiasi gani cha fedha kwa safari za nje

Halafu anaonyesha mfano mzuri kwa lile agizo lake la kutumia mabalozi wetu, so hakuna tatizo kabisa
 
Inasemekana jamaa ana implant hivyo hawezi kupanda lifts au kusafiri na long flights!. Japo wengi hapa tutampongeza for practicing what he preach, kama issue ya implant ni kweli, usikute hata hoja ya kupiga marufuku safari za nje, sio cost cutting bali ni uchoyo tuu na ubinafsi wa tukose wote.

Pasco
 
Jamaa anainyoosha nchi na kukamua majipu sugu yote ndani ya wiki 3 tu.
Akiteua mawaziri, wao ni kusimama vile vidonda vya majipu tu.Mzigo wote out already...
 
Inasemekana jamaa ana implant hivyo hawezi kupanda lifts au kusafiri na long flights!. Japo wengi hapa tutampongeza for practicing what he preach, kama issue ya implant ni kweli, usikute hata hoja ya kupiga marufuku safari za nje, sio cost cutting bali ni uchoyo tuu na ubinafsi wa tukose wote.

Pasco

Kama kawaida yako huwa huwaangushi wanaokutegemea. Khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
Inasemekana jamaa ana implant hivyo hawezi kupanda lifts au kusafiri na long flights!. Japo wengi hapa tutampongeza for practicing what he preach, kama issue ya implant ni kweli, usikute hata hoja ya kupiga marufuku safari za nje, sio cost cutting bali ni uchoyo tuu na ubinafsi wa tukose wote.

Pasco

Mkuu ni wewe kweli?
 
Kiingereza kiingereza ninyi mnaojua kiingereza mbona hamkwenda..watazania safari hii hatuitaji kiingereza hapa kazi tu..
 
Akajifunze kiingereza kwanza.


swissme

Siku hizi kingereza sio lazima. Vipo vifaa vya kutafsiri lugha yoyote ile hata kihadzabe.

Lakini pia niliwahi kumsikia Dkt Magufuli akikiongea Kingereza, yupo vizuri sana na uzi wake wenye video upo humu JF.
 
Awe anajua Kingereza, awe hajui Kingereza kwangu sio point, point kwangu ni hi, he walks his talk! Hivyo ni baadhi ya vikao ambavyo havinaga maana; kwenye mambo yote ambayo ni makubwa, Uingereza anaendaga waziri mkuu wao na sio malkia. Hiki kikao hakina maana yoyote zaidi ya kwenda kukumbushana kwamba hawa jamaa walitutawala.
 
Mkuu inaonekana umeshaanza kuisoma namba
 
Sio ujanja kujisifia kwa lugha ya watu wengine watu wengi kumbe bado mna mentality za kikoloni,ukiweza kusikia vizuri kuandika na kuongea kidogo inatosha kabisa, nilikuwahi kuwa masomon huko wachina na mataifa mengine hawajui kiingereza fasaha kabisa, hata walimu kuwaelewesha ilikuwa kazi unakuta computer iko kichina, sasa sie kwetu tunaona ujiko
 
Inasemekana jamaa ana implant hivyo hawezi kupanda lifts au kusafiri na long flights!. Japo wengi hapa tutampongeza for practicing what he preach, kama issue ya implant ni kweli, usikute hata hoja ya kupiga marufuku safari za nje, sio cost cutting bali ni uchoyo tuu na ubinafsi wa tukose wote.

Pasco

Mkuu,

Bora habari za rais Dkt Magufuli usizisome....naona zinaweza kukupa presha.
 
Back
Top Bottom