Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Huko Kisiwa cha Malta kuna Mkutano mkubwa Kikoloni (CHOGM) unaendelea chini ya usimamizi wa Malkia Elizabeti wa Uingereza ambaye ndiye bosi wao, nchi wanachama zote za Jumuiya hiyo ya Kikoloni zimetuma marais wao isipokuwa nchi Moja tu inayojitambua hapa Afrika nayo ni Tanzania yetu, rais wetu katuma Balozi akamwakilishe, safi sana Rais Magufuli!