Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

Rais Magufuli alipaswa awe Malta leo hii!

Unasema Magufuli hakwenda Malta? Kama mume ambaye hataki kwenda kazini kwa kuhofia mke wake atafanya uhuni.
 
kama walishatuumiza kwa kututawala wanatukumbushia machungu kwa nini? Jpm anajitambua na muda simrefu mabadiliko ya jpm yataikumba dunia na ndiyo hapo malkia atajifunza kutamka hapa kazi tu. Chezea pombe wewe!


tena brewed by magufuli tehtehtehhhh
 
good mr. President
naona umeomba kuahirishwa kwa 17 EAC HEADS OF STATE SUMMIT tukae sawa kwanza...!!!

kuna mashirika bado ujayaweka sawa
ikiwa poa utatembea tu mbona...Z!!!
 
Akatafute nini huko wakati ndiokwanzaaa zoezi la utumbuaji limeanza?
 
Mkuu unaweza kutuwekea shughuli wanazofanya kama unazifahamu?

Zaidi ya ile michezo yao hamna lingine la maana.
Mwingereza anataka aendelee kuwa significant kwenye dunia ya leo. Kwa hiyo akaunda hii jumuiya ya makoloni yake. Zaidi ya misaada ambayo bado watatupa hata kama tukijitoa sioni faida ya hii jumuiya. Nchi kadhaa zimejitoa na zinaendelea vizuri tu. Nyingine kama Marekani wala hata hazokutaka kujiunga.
 
Zaidi ya ile michezo yao hamna lingine la maana.
Mwingereza anataka aendelee kuwa significant kwenye dunia ya leo. Kwa hiyo akaunda hii jumuiya ya makoloni yake. Zaidi ya misaada ambayo bado watatupa hata kama tukijitoa sioni faida ya hii jumuiya. Nchi kadhaa zimejitoa na zinaendelea vizuri tu. Nyingine kama Marekani wala hata hazokutaka kujiunga.

Mkuu wacha uongo. Kuna mambo mengi muhimu Commonwealth wanafanya wacha kukurupuka mkubwa wewe sasa.

''Commonwealth organisations are involved in diverse activities, from helping countries with trade negotiations to encouraging women?s leadership, building the small business sector, supporting youth participation at all levels of society and providing experts to write laws.


The Commonwealth Secretariat promotes democracy, rule of law, human rights, good governance and social and economic development. We are a voice for small states and a champion for youth empowerment.


The Commonwealth Fund for Technical Co-operation (CFTC) was set-up in 1971 and is the principal means for the Commonwealth Secretariat to provide technical assistance to Commonwealth countries. Our approach emphasises country ownership by delivering technical assistance on a demand-driven basis.''
- See more at: Our work | The Commonwealth

Wacha pumba BTW kuna Watanzania wengi tu wamepata scolarship za kusoma kupitia Commonwealth, vile vile usisahau nchi nyingi unaweza kwenda bila VISA, unaweza kupewa on arrival.
 
Back
Top Bottom