Kutaka kumuua Lissu, kumuua Ben saa8 hizo hatia zote lazima awe mfungwa hata asipokaa gerezani atakuwa mfungwa was nafsi,Nmeipokea kwa huzuni Sana kauli ya mheshimiwa aliyoitoa akiwa anaongea na wafungwa katika gereza la Butimba kuwa yeye ni mfungwa wa baadaye.Kwaujumla inawezekana ni prophetic word ila nitalifuta hilo neno kwa jina la Aliye juu Sana.