mbotoki
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 268
- 116
Hii issue yaonesha imekuumiza sana aisee.Ivi masaki hakujai maana hadi manaibu waziri wana ma bangalo uko
Pole.
Hii issue yaonesha imekuumiza sana aisee.Ivi masaki hakujai maana hadi manaibu waziri wana ma bangalo uko
Raisi Magufuli alipokwenda nyumbani kwa Mzee Mkapa Masaki kumtembelea!
![]()
![]()
Yupi mshindi halali wakati matokeo hayakumalizwa kutangazwa?. Pia tukumbuke uchaguzi ulifutwa. So Seif alimwaga mboga, Jecha akamwaga ugali...turudi uwanji ndio suluhisho...Achukue maamuzi sahihi mshindi halali atangazwe
Mkapa naye bwana. Micheni kama 50 cent. Mtu kashajizeekea lakini bado tu anautafuta ujana.
Kwa kweli haya majembe ni hatari sana wachapa kazi. Namkubali sanaMtu na bosi wake wa zamani, wanafanana sana kitabia, hawapendi uswahili, hawapendi majibizano ya kipuuzi yenye mlengo wa kisiasa. Hawana muda na majungu, hayo ni majembe mawili ya ukweli.
Cathode Rays ni kazi gani aliifanya Mzee?Kwa kazi aliyoifanya Mzee kwa vyovyote Magufuli lazima ampe heshima zake mzee wa watu
una picha yao wakiwa pamoja?Kikwete walisha kutana na Lowasa kabla ya Lowassa kukaa kikao na Malim Seif
una picha yao wakiwa pamoja?Kikwete walisha kutana na Lowasa kabla ya Lowassa kukaa kikao na Malim Seif
Raisi Magufuli alipokwenda nyumbani kwa Mzee Mkapa Masaki kumtembelea!
![]()
![]()
duhh!! hii si bure, amekunywa kimpumu huyu. unawatukana watz wote wanaofurahia kufaidi matunda ya nchi yao. ajabu na kweli.Malofa ni wale walioshindwa kulipa ada ya shilingi 20,000 ili watoto wao waende kusoma sekondari mpaka serikali imeamua kuiondoa ada hiyo. Na wapumbavu ni wale wanaodhani bila ya CCM kutawala Zanzibar, Tanzania italaaniwa!!
uchaguzi urudiwe hapakua na mshindi halali.Achukue maamuzi sahihi mshindi halali atangazwe