Ha ha ha wanajuana hao
Achukue maamuzi sahihi mshindi halali atangazweZanzibar inamuumiza kichwa Mzee wa kutumbua majipu!
Mtu na bosi wake wa zamani, wanafanana sana kitabia, hawapendi uswahili, hawapendi majibizano ya kipuuzi yenye mlengo wa kisiasa. Hawana muda na majungu, hayo ni majembe mawili ya ukweli.
SikweliZanzibar inamuumiza kichwa Mzee wa kutumbua majipu!
Kikwete walisha kutana na Lowasa kabla ya Lowassa kukaa kikao na Malim SeifHivi mbona mpaka sasa hajamtembelea lowasa?
Malofa ni wale walioshindwa kulipa ada ya shilingi 20,000 ili watoto wao waende kusoma sekondari mpaka serikali imeamua kuiondoa ada hiyo. Na wapumbavu ni wale wanaodhani bila ya CCM kutawala Zanzibar, Tanzania italaaniwa!!Nijambo jema kumtembelea kiboko wa Malofa na wapumbavu