sio magufuri ametambua CUF baada ya kiboko cha wamerekani si alijifaya kichwa ngumuHatimaye Viongozi wandamizi wa Chama Cha Wananchi CUF wametangaza kutambua rasmi ushindi alioupata Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Joseph Pombe Magufuli.
Ikumbukwe awali CUF wakiwa miongoni mwa washiriki wa umoja wa Ukawa waliutangazia umma wa Watanzania kutokubaliana na matokeo lkn kwa nyakati tofauti viongozi watendaji wa Chadema na CUF wameonekana kufurahia kasi ya mabadiliko yanaofanywa na Dr Magufuli pamoja na Serikali yake.
Ni busara kwa wananchi kuwa na uzalendo katika kukubaliana na wakati katika kujikwamua kimaendeleo kuanzia ngazi ya familia. Kukubali kuyumbishwa na wanasiasa ni kupoteza muda wako wa kutafuta riziki kwa ajili ya familia yako, tufanye kazi kwa bidii na hatimaye tutapata mafanikio makubwa.
Sina uhakika kama CUF wanamtambua Magufuli kama raisi lakini nadhnai wanatambua kiti Magufuli inajulikana aliwekwa kwa kura zisizo halali tofautishaKuna siku walishakataa kutambua kuwa Mh JPJM ni Rais wa JMT? kama kweli walikataa kumtambua basi hawajui katiba ya JMT
Mbona mimi sielewi wajameni ! si mlisema Zanzibar ni Nchi sasa Magufuri anafuatwa kufanya nini ? Anaendea kusuruhisha ugomvi kwa Jamhuri ya Zanzibar , kwani wameshindwa kumalizana wenyewe
Maalim Seif ni makamo wa kwanza wa Rais wa Serikali iliyomaliza muda wake. Kwa sasa labda umuite Rais a SMZ aliyechakachuliwaRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo juu ya hali ya siasa ya Zanzibar na makamu wa kwanza wa rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Sharifu Hamad Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Kusoma umeshindwa na picha imeshindwa kuielewa? au ni ubishi wa jadi?
Mbona na wewe hujarudi kwenu Kiborausage.Urais gani mwambie akagombee kwao oman.
atakuwa ni kabila flani "Muha " maana ni wabishi sana nasikia
atakuwa ni kabila flani "Muha " maana ni wabishi sana nasikia
Wampe Seif urais wake mambo yaishe waendelee kujenga nchi.
mbona maalimu yuko zanzibar toka asubuhi?
Soon Mtasikia Seif Ame -sold Out
kuna watu humu wanaibeza Marekani ngoja tuone najua tutaheshimiana tu.