godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Inaonesha usijua kutofautisha uelewa na uzoefu..!Hapana yule Kamanda hafungamani na Chama chochote,after all kwa mujibu wa taratibu za kazi zao hawaruhusiwi kushabikia siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app