shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,896
PointSirro ni mhalifu kuzidi hata wahalifu tuwajuao, wacha muda wake wa kukaa madarakani upite!
Sent using Jamii Forums mobile app
PointSirro ni mhalifu kuzidi hata wahalifu tuwajuao, wacha muda wake wa kukaa madarakani upite!
Muanze na jengo la ofisi kwanza!Ufipa wanakusanya hela wawe na kituo cha uhakika kuliko kuwa na hicho cha kuchafulia jina.
Hao hata wapewe billion 2 bado utaskiaa sauti sjui rangi mbaya ....maana hakuna wanachokiweza
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Muanze na jengo la ofisi kwanza!
Wanapohoji bila kujiuliza ndipo wanapokutana na hoja kama hizi
UPIGAJI wanaumudu kwa kiwango cha SGRHao hata wapewe billion 2 bado utaskiaa sauti sjui rangi mbaya ....maana hakuna wanachokiweza
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu wanapanua vinywa kupinga upigaji na ulaghai wa kisiasa...
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha walimu Wa madarasa??? Teh teh tehmuda sio mrefu na jafo ataita waandishi kutangaza uteuzi wa maafisa elimu na walimu wa madarasa
ICC inatamtembelea?Sirro ni mhalifu kuzidi hata wahalifu tuwajuao, wacha muda wake wa kukaa madarakani upite!