BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Na wewe tembelea waking Manji, Mengi, MO, Barehesa, uwacha ndugu zako. Kissa Awana mmasaada. Ndiio walewale wasiokwenda kwao. Kwenye mitandao uonyesha majumba ya watu wakisema yao
Hili si ndio swala alilokuwa anafanya mh. Kikwete napo akalalamikiwa anakula bata sana kwa wazungu hukoHapo vip!!
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.
Lugha ya kiingereza kwa JPM bado tatizo kubwa sana. Hakijui. Ni aibu kusikia alichozungumza huko Afrika Kusini na Namibia. Hajui grammar kabisa.
Hiyo nnkasumba inayosumbua akili yakoHapo vip!!
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.
Umelifafanua vyema comred ila kumbuka kuna watu huwa wanaasili ya kupinga tu.Mimi simchukii Mh. Rais Magufuli. Najua kuwa ni Rais wangu kwa wakati huu. Ninajua kuwa kila Rais inambidi atoe mchango wake katika kuliondoa Taifa hili kutoka hatua moja hadi nyingine.
Nafahamu pia kuwa hakuna chuo cha Urais. Rais Magufuli kuna maeneo amekwishakosea. Na pale alipokosea anaweza kujisahihisha mwenyewe au sisi kumsahihisha au kumshauri.
Kama nchi, hatuna muda usio wa umuhimu. Kwa sasa tunahitaji uwekezaji, tena uwekezaji mkubwa kuliko kipindi chochote. Tuna maelfu ya wahitimu wa vyuo wanaotaka ajira. Tunataka wawekezaji wa kuajiri wafanyakazi 1000+, na siyo hawa wa watu 3 (viwanda vya cherahani 3). Tumeharibu mazungira ya uwekezaji. Hakuma mtu mwingime wa kurekebisha zaidi ya yeye aliyeyaharibu.
Maskini wenzetu watembelewe na watutembelee maana huchagui ndugu lakini kwenye strategic economy ni lazima tujue wapi kwa kupeleka nguvu zetu nyingi.
Tunahitaji uwekezaji, hasa uwekezaji mkubwa. Vijana wahitimu wanahitaji ajira ili baadaye waweze kubadilisha mishahara yao kuwa mitaji ya uwekezaji.
Ni vema Rais akawapuuza wenye kumsifia kwa kila jambo. Badala yake achambue kwa umakini hoja za wale wenye kumpa challenge.
Sina mentality ya umaskini, tofauti yangu Mimi na wewe ni uwezo wa uelewa tu, na sio vinginevyo..Mkuu mbona una mentality za kimaskini sana unawaza misaada tu??
Hii nimeipenda SanaPeople have friends, Nations have interests. Anazururazurura tu aimlessly without any concrete interests
Hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa kupewa misaada!Hapo vip!!
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.
Hapo vip!!
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.
[/QUOTushauri mzuri lakini akitembela nchi tajiri ataongea nini maana nchi tajiri kingereza ndio lugha wanayo elewa hata kama sio luhga yao lakini ukiongea ndio kidogo wanajuwa umo serious. kwafano uende Japan au Germany au ufarasa uongee kiswahili watakuona kama unataka kuwaibia lakini ukiongea kingereza kama hawakuelewi wanamuita wakutafusiri haraka.
Na kama ni mkopo jee??!!Inasikitisha sana hauna ufahamu kuwa kwenye matatizo ndiyo kwenye fursa. Magufuli kishapata order ya tani 700,000 za mahindi.
Pia ni fursa. Hakuna raha kama kukopwa.Na kama ni mkopo jee??!!
simkubali Magu kwenye mambo mengi sana ila hapa namtetea. Ziara ni muhimu na sote tunajua hivyo. Ushauri mzuri ungekuwa, pamoja na kutembelea nchi za Kiafrika, sasa rais aelekeze nguvu kufanya ziara kwenye nchi tajiri ili kuzishawishi kuwekeza TzHapo vip!!
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.
Bibie unakopesha nikukope? Hakuna raha kama kupata mwanamke anayekopesha, wengi wanataka on spot cash based biasharaPia ni fursa. Hakuna raha kama kukopwa.
Ukikidhi vigezo nakopesha. Kwa kuwa unaongelea biashara basi kigezo cha kwanza ni kuhakikisha umwanamme kamili? Ukiwa tayari nijulishe nitume vijana wakukaguwe marinda.Bibie unakopesha nikukope? Hakuna raha kama kupata mwanamke anayekopesha, wengi wanataka on spot cash based biashara
How old are you?Unataka atembelee nchi tajiri ili ahongwe pesa kama wewe unavyohongwa na Mbowe?
Tatizo lako unaangalia eneo la misaada, ambapo ni sehemu ndogo nimegusia katika umuhimu wa ziara.Hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa kupewa misaada!
Hilo usihofu, nitakupa zaidi ya ujuavyo. Huna haja ya kukagua marinda muziki utauona. Pls inbobo. 0754....Ukikidhi vigezo nakopesha. Kwa kuwa unaongelea biashara basi kigezo cha kwanza ni kuhakikisha umwanamme kamili? Ukiwa tayari nijulishe nitume vijana wakukaguwe marinda.