Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,069
- 3,705
Hapo vip!!
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.
Binafsi Ziara za Rais wetu muheshiwa Dr. John Pombe Magufuli, naona kama ziara ambazo hazina maslahi kwa Taifa letu.
Nchi anazotembea ni maskini yenye matatizo kama ya nchi yetu au hata zaidi ya nchi yetu.
Tafsiri yake anatumia Pesa za wananchi bure kwenda kuzura na kuwatembelea maskini wenzake wasioweza kumsaidia wala yeye kuwasaidia, kwa ujumla ni ziara za kimaskini,ambazo hazina maslahi kwa nchi yetu.
Ni wazi uchumi wa nchi yetu ipo ICU, tunaitaji ziara zinazoweza kuleta uvumbuzi dhidi ya matatizo ya uchumi yanayoikabili nchi yetu.
Najaribu kujiuliza katika hizo nchi anazotembelea, tunaweza kuwapata wawekezaji, wakuja kuekeza katika nchi yetu..?
Ziara katika nchi tajiri Kama za America na Ulaya ni muhimu na hazikwepeki kufanywa na Rais nchi yetu, sasa yeye anatembelea Mataifa maskini,sio kosa kutembelea nchi za kiafrika ila atambue hizo ziara hazina maslahi Sana kwa Taifa letu kwa sasa.
Ni wazi nchi yetu bado inahitaji misaada, sio Swala la kumumunya maneno hapa, sasa katika hizo nchi anaweza akapata vip misaada, habari ya kujidai maskini jeuri huku huna mbinu mbadala za kutatua tatizo ni kujitesa mwenyewe.
Akafanye ziara Duniani huko, ziara za kuwatembelea wakina Museveni, Kagame na wengine wanaofanana nao, hazina tiga kwa maslahi Sana kwa nchi yetu.
Robert Mugabe alijidai maskini jeuri, Lakini wote nyie ni mashahidi kwa kilichoikumba uchumi wa Zimbabwe..
Kwa maoni yangu kuliko angefanya hizo ziara bora angebaki tu Ikulu.