Uganda wamenunua bombardier mbili kwa mpigo. Ethiopia waweka oda ya Airbus A220 ishirini. Mexico imeweka oda ya Airbus A220 ndege 12. Ikumbukwe Tanzania kupitia ATCL ndio ya kwanza kununua na kutumia ndege aina ya Airbus A220.
Mexico walikuwa wanunue Sukhoi Superjet 100 wamekanseli Oda.
Mexico walikuwa wanunue Sukhoi Superjet 100 wamekanseli Oda.