LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Mkuu Kaizer,
Chukua tano kabisa.
Hapa inabidi tu kukubaliana na maneno ya FMes kuwa viongozi wetu ni reflection yetu wenyewe. Mwakani watu watapewa PIPI za watu wazima (Khanga, ng'ombe, T-Shirt za "Yanga", maneno matamu nk) na jamaa hata kwenye gari hatashuka. Tutafurahia uzuri wa gari lake na maneno yake na uzuri wa mgombea. Tutampa kura zetu huku tukionyesha jino la mwisho mdomoni mwetu.
Kweli Bob Marley alikuwa na akili sana alipoimba "Jikwamueni kutoka kwenye UTUMWA wa ki-akili".
Kuna PIPI za watu wazima zitagawanywa mwakani? ...na kwamba zitagawanywa jamaa akiwa ndani ya gari? Dah!
Sikonge ulichoandika hapo kwenye nyekundu JK hatapendezwa nacho mkuu.