Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,115
- 43,188
Madikteta wanaendele kupungua, eeh Mungu tupunguzie na mafisadi hapa Tanzania.
Hivi unamjua huyu mzee au umeamua kuleta porojo?
Madikteta wanaendele kupungua, eeh Mungu tupunguzie na mafisadi hapa Tanzania.
Taarifa rasmi ni kwamba yule Mjamaa
Taarifa fupi ya shirika rasmi la serikali inasema: Kim died due to "overwork" after "dedicating his life to the people". Kim, 69, died at 8:30 a.m. Saturday, state TV said.
Je dunia itegemee mabadiliko gani? Kazi kwenu great thinkers kudadavua.
Sourse: Mashirika ya Habari ya Kimataifa.
heart attack and mental disability
Hizo taarifa unazipata kwenye magazeti ya udaku au unaifahamu peninsula ya korea? kabla hujaandika maoni fanya utaratibu kajionee mwenyewe Korea kaskazini ikoje au kama huwezi tafuta wakorea kaskazini wakwambie kinachoendelea. Usishabikie kama kasuku.Si kweli North Korea imeendelea kuliko nchi zote za Afrika Mashariki kwa pamoja!
Vituko vya wananchi wakiomboleza kifo cha shujaa....