Rais Kikwete safarini Marekani


exactly,chezea ------ wewe
 
Bavicha bana! Wewe humjui Mandela kaa kimya mara nyingi tu kaishaenda kutibwa Ulaya.

lini alienda? acha kuongea uongo huu ndio ushabiki usio na kichwa wala miguu!!!

huu ni aina nyingine ya ufisadi maana allowance za kila cku za kuforce!!! mara south, mara kenya, mara oman, mara sunderland football club, mara kwenda kupiga picha na 50 cent na kila aina ya starehe anaitaka yeye si aende muhimbili kama watanzania wengine!!!
 
Jk hana uchungu na watz,kama waziri mkuu alisema wapigwe tu,unategemea huyu Jk atakuwa na uchungu na watz,slogani ya magamba wapigwe tu,hata mabomu walipueni! Hana uchungu na nchi,kama aliingia kwa rushwa(refers Dr.Slaa speech in TBR) unategemea pesa alizokopa atarudishaje kama sio kuiba kupitia safari zisizo na tija zikiwemo za kwenda kubembea!
 
Mshuza2 said:
Nakumbuka kuna jamaa alishawahi kusema muheshimiwa asipojua kuendesha ndege atakua na kichwa kigumu sana..kwa safari hizi..
Kwani huwa anakaa na rubani kwenye cabin?
 
jana jioni chupuchupu msafara wake kugongwa na treni maeneo ya gold star kamata
 
huyu rais atakuja kufia barabarani huyu, duh, hata hapa dar hakai kabisa oficini
 
Emekwenda na Mkewe au? au mkewe hatakiwi kupima afya yake? kama kamwacha akina mama fanyeni maandamano kwani huu ni unyanyasaji wa kijiisia!:sleepy:
 
muulizen mama ake vizuri,inawezekana muda mwingi alikuwa anatoroka kwao msoga kuja daslam kumsalimia uncle
 
haya mambo mweleze mzee wako yeye akiumwa abaki nyumbani kwake asiende hospital kwani nani kakudanganya kuwa jk ameenda kwenye matibabu kama kaenda kufirisi mali za mafisadi kama wale walioficha pesa dubai.


binti umekuja kwa kasi kweri naona? join date 4/10/2013 lkn uko speed kweri, kweri ajira mpya na damu changa, umewapita Rizzy hammy @d na buku 7 wengi sna kwa speed yko ilivyo kali
 
Last edited by a moderator:
Eee mwenyezi Mungu nakuomba uipindue ndege ya raisi ikiwa huko angani, khaaa!
 
Ni ndoto kwa Rais wa nchi za kiafrika kujigharamia safari maana hawezi kuwalipa walinzi wake posho ya safari maana ni watumishi wa serikali na hawapaswi kumfanyia mtu kazi binafsi. Kwa vyovyote gharama inatoka kwetu walipakodi
 

sasa wewe MAKU uislam umetokea wapi hapa?? mbona unakua -------- na mseng.e kama yule jamaa mmoja mwenye ID ya omba omba maarufu hapa nchini?? cc Matola Ritz ASHA mohamed
 
Last edited by a moderator:
JERUSALEM, Israel


WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu hatahudhuria mazishi ya Hayati Nelson Mandela kwa sababu ni ghali mno kusafiri hadi nchini Afrika Kusini,


Kulingana na redio ya taifa la Israeli, waziri huyo itatumia kiasi cha 7.0 milioni shekels ambazo ni sawa na Sh170 milioni kusafiri nchini Afrika Kusini pamoja na walinzi wake


HAPA BONGO INAKUAJE KUHUSU SAFARI ZA WAKUU WETU UPAND EWA GHARAMA??
 
Mwenyenzi MUNGU ckia maombi ya Watu wako! Usikawie katika majibu Mungu wetu.
Tuna Imani Bwana wa Majeshi utasikia maombi ya watu wake!

Eti ameenda kupima afya Marekani?

Loh! Hili halikubaliki hata kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…