Nimependa title ya hii thread. Ama kweli haya ni matokeo ya mbegu aliyopanda Kiwete hasa 2010. Sasa propaganda hizi zimeota mizizi la "Wajinga Ndiyo Waliwao". Wakati CDM wakishambuliwa na kupakaziwa, wao wanazidi kuchanja mbuga na M4C. Wakati wakristo wakichokozwa makusudi na kushambuliwa kwa maneno, wao wako "busy" wanajenga shule na hospitali. Mkimaliza propaganda zenu mwende mkasome na kutibiwa.
Mkuu wangu kwanza niseme tu ya kwamba huo waraka unaouweka hapa haukuandikwa na Muislaam kama unavyodai kwa sababu kuna makosa mengi sana ya kimaandishi hasa ktk nukuu ya maneno ya Utangulizi ambayo muislaam hawezi kuyafanya. Halafu ukiusoma kwa makini utajua fika kwamba huyu mtu aloandika hii kitu ameandika sio official hakuna address, jina wala Jumuiya gani isipokuwa tu katumia maneno anayojua yeye kwa kuficha ID yake.Waraka wenyewe huu hapo chini upitieni muone kilichomo...tunakoelekea si kuzuri sana.....
ielekee kwenye machafuko mara ngapi? mbona tayari.Kuna kila dalili sasa nchi inaelekea kwenye machafuko!!
Jk ni janga tusikubali tena kutawaliwa na raisi mwenye hihi dini yashetani
Kwa nini huu wakara unalenga zaidi kufananisha CHADEMA na mamabo mabaya?
Nani ambaye angependa CHADEMA kife kwa gharama yoyote?
nani anapandikiza mbegu ya chuki kwa CHADEMA?
Nani ni mpinzani mkubwa wa CHADEMA?
Kifo cha Mwandosya ni bahati mbaya?
Ni nani angependa watanzania waamini hivyo?
Na kwa maslai ya nani?
Ukipata jibu utajua huu waraka unatoka wapi???
wana JF, ndugu zangu waislamu wanatumiwa tu hapa....
Kama nimekuelewa vizuri, hapo kwenye red: tambua kwamba elimu haimbadilishi muislam, awe professor awe hajagusa shule atafuata misingi ile ile ya dini yake kwa sababu ndio njia yake ambayo anaamini itamfikisha mbinguni.Sitaki kuandika mengi, lakini kama tu ungejua wanafundishwa nini tangu wadogo kuhusu watu wa dini nyingine wala usingeshangaa wanayoyafanya sasa hivi. Angalia kipengele cha 13 kwenye waraka huo, yeyote asiye muislamu wanamuita kafiri na ana-deserve chochote kibaya. Na usishangae kusikia hao aliowatuhumu kwenye kipengele hicho wakadhuriwa, maana yake ni kama anawaamrisha kiaina wakawafanyizie.Ukisoma huu waraka unaweza kuamini ni waraka wa vichaa fulani wanaotegemea kuwasomea vichaa wenzao. lakini cha kusikitisha ndizo waraka wanazoandika ndugu zetu hawa na kuzigawa misikitini tena zikifurahiwa na kugombaniwa. Ndio maana huwezi kushangaa kwanini katika nchi nyingi za kiislamu kuna vurugu au nchi zile ambazo sina waislamu wanaochangamana na dini nyingine kuna vurugu zinazoongozwa na waislamu wenye siasa kali. Kwa muislamu kuukimbia huu ujinga ni kwamba awe na uelewa na kisomo kidogo kichwani pamoja na kichwa kinachouliza kila kitu. Bahati mbaya si wengi wana sifa hizo hivo wanaenda na maji.
Huu waraka wa kijinga kabisa unamfagilia na kuulinda utawala wa Rais Kikwete. Ndio maana tunasema Kikwete ndiye anayelea huu upumbavu. Kama angekuwa kiongozi makini angekemea hawa wapumbavu na kuwaagiza mara moja waache kumchafulia jina lake lakini kakaa kimya tu. Waraka kama hizi wamezunguka na kuzihadhiri hadharani karibia nchini kote mara baada ya Kikwete kushinda uongozi na kuonekana watu wamemkataa kwa kuwa hakuwa chaguo lao. Hapa kama kiongozi wa nchi ingetakiwa ajitokeze na kukemea hii mihadhara inayohatarisha umoja wa kitaifa. Kiongozi wa nchi anashindwa nini kutamka kuwa ni haramu kuongelea mambo ya siasa kwenye mikutano ya kidini iwe msikitini au makanisani na kwamba watakaofanya hivyo watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria na sheria zikaanza kuchukua mkondo wake. Kama hatua ndogo kama hiyo ingechukuliwa makanisa yangefikikia kuchomwa moto?
Hawa ndugu zetu wanaopalilia hizi chuki hata akili zao haziwazi mbali hivi ni mawaziri wa kiislamu tu ndio walioandamwa walipopata kashfa kujiuzulu? Vipi chenge hakuwa waziri? Vipi, Ezekiel Maige hakuwa waziri? Vipi Emmanuel Nchimbi anayetakiwa kujiuzulu kwa mauaji ya Mwangosi pamoja na Kamanda Michael Kamuhanda nao ni waislamu kama Mwema? Ndugu zetu waislamu mkikubali huu waraka na kuifanyia kazi mtakuwa watu wenye akili ndogo kuliko watoto wadogo wanaoweza kudanganywa tu. Najua wengi mna akili na uwezo mzuri wa kufikiri kukataa huu uzushi?
Mbona CDM wamempinga Lowasa mpaka kajiuzulu, hizo kashfa hazikuanza na Dr. Slaa huyo mnayemwita padri ili kunogesha uongo wenu wa waraka huu? Mbona ni mkristo? Mbona bado wanampinga huyo Lowasa kama wanavyompinga Kikwete? Kwa hiyo kama Kikwete anapingwa kwa kuwa ni muislamu, Lowasa je?
Nani amekwambia waislamu hawafikirii vizuri? Hao wanafuata maandiko ya vitabu vyao, hivyo ndivyo vinavyowaagiza. Kwa hiyo hamtaweza kuelewana katika suala hilo.hivi waislamu mbona hawafikirii vizuri?
Mbinu zenu chafu dhidi ya Uislaam zitazidi kukiweka chama cha Chadema mahala pabaya zaid kuendea uchaguzi wa mwaka 2015..
Nashukuru sana ila tujihadhari sana na mbegu hizi tunazozipanda humu. Leo hii kuna mada zaidi ya nne zinazozungumzia Ubaya wa Uislaam na mazuri ya Maaskofu ktk ukumbi wa SIASA mnategemea kuvuna nini? Na hasa wana Chadema wamekuwa mstari wa mbele sana kukashifu Uislaam bila hata kufiiri halafu wanajiita wasomi sielewi hizi shule tunazosoma ndizo zinatufunza haya?. Binafsi yangu naiona CUF ya mwaka 2008 na 2009 ikimwelemea Chadema, ni swala la muda tu..Mkuu wangu nakuheshimu sana kwa nguvu ya hoja zako hapa jukwaani. Waislamu wa Tanzania ambao najua wengi ni wapenda amani na haki wajitenge na matendo mabaya yanayowachafua,yakiongozwa na watu aina ya Ponda. Mkuu wangu,Waislamu wanatukanwa humu kwasababu ya ukimya wao wa kuwaacha wahuni wachache wafanye uchochezi,wajenge chuki ktk jamii na mwisho wake ni mapambano! Wahanga wakubwa wa uchochezi huu watakua wananchi masikini bila kujali dini ya wahusika.
TISS at work IGHONDU. yakichacha utatumia silaha zote za TISS.