Kimsingi kiongozi yoyote awaye kusimamia na kutekeleza sheria iwe kwa mujibu wa katiba au kwa mujibu wa mpendezo ya bunge siyo kuchukuwa maamuzi magumu. Maamuzi magumu ni pale unapoamua kupora Mali za summa au kudhurumu haki za wananchi unaowaongoza kupitia hujuma kama za escrow, EPA, Meremeta Richmond, nk. Kikwete chondechonde yekeleza wajibu chukuwa hatua.