Upo sahihi dhahabu hizo ndio zinazoa mtoa roho kam waliokufa wameshakufa wahutu ile ni inchi yao pia nilishani kama rais yy ndio alitakiwa kukomesha hili kwa faida ya vizazi vya mika mia ijayo.kuna kitu anakipata aombwe radhi kwa lipi baya waswahili wanasema JERI MWENZIE KUSUDI,UKISIKIA KICHEFU CHEFU TAPIKA SIO KULA NDIMU,kwani kagame alisemea chumbani huku milango ikiwa imefungwa?Jk ni wetu watuache tusigane nae wenyewe hapa ni utaifa.SINGI VITA WALA C PENDI kwakuwa mimi nitakuwa ni mmoja wa waathirika lakin Kagame kwa hili kateleza na cjui kwanini walimuingiza kwenye EA.???Rais Kikwete alimtaarifu Rais Museveni kile walichojadili baada ya yeye kuchelewa kufika. Alisema ni vema serikali za Rwanda na Uganda zikakaa na kuzungumza na makundi ya waasi wa nchi zao, na kulitolea mfano kundi la waasi wa Rwanda la FDLR.Inasemekana ushauri huo uliungwa mkono na Rais musevi,lakini ulipingwa vikali na Serikal ya Kigali.
Ina mana walishakaa chumbani kama ulivyotaka lakini yeye ndio kawa bedui wa kuyatoa NJE