Huyu rais sijui katoka sayari gani. Tuliomshabikia 2005 tunajuta.
Milele amina. Hiyo ukawa yako hata wilaya haipati. Achilia mbali nchi. Lowassa tunamuweka ndani kwa mauaji ya Mtikila, na kesi za ufisadi. Wewe ----- mtozeni una bahati unatumia ID bandiaSasa, UKAWA ikichukuwa nchi, watabadilisha wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya na kuweka watu wao kama vile JK itakavyobidi ampishe Lowassa?
Taratibu naona hata waliokuwa hawajaelewa sasa wanaanza kuelewa.Sasa, UKAWA ikichukuwa nchi, watabadilisha wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya na kuweka watu wao kama vile JK itakavyobidi ampishe Lowassa?
Hivi wataalamu wa sheria, hakuna kifungu kinachoweza kutusaidi kuzuia teuzi kama hizi!?
Inasikitisha na kuaibisha!
Milele amina. Hiyo ukawa yako hata wilaya haipati. Achilia mbali nchi. Lowassa tunamuweka ndani kwa mauaji ya Mtikila, na kesi za ufisadi. Wewe ----- mtozeni una bahati unatumia ID bandia