Hakuna asiyeona kazi nzuri na utumishi uliotukuka wa rais wa Tanzania ndugu Jakaya Kikwete. Kwa muda aliokaa madarakani ameleta maendeleo makubwa katika nchi yetu.
Elimu, afya, kilimo na ujenzi wa miundombinu ni baadhi ya maendeleo katika kipindi cha uongozi wake.
Kuna haja ya Watanzania kuandaa hafla kubwa ya kumpongeza na kumpa tuzo ya kuwa rais bora kanda ya maziwa makuu kwani mchango wake unatambulika mpaka nje ya mipaka yetu katika kusimamia ustawi wa nchi nyingine za maziwa makuu.Kama katiba inaruhusu JK anasifa ya kuendelea kuliongoza Taifa la Tanzania.
Elimu, afya, kilimo na ujenzi wa miundombinu ni baadhi ya maendeleo katika kipindi cha uongozi wake.
Kuna haja ya Watanzania kuandaa hafla kubwa ya kumpongeza na kumpa tuzo ya kuwa rais bora kanda ya maziwa makuu kwani mchango wake unatambulika mpaka nje ya mipaka yetu katika kusimamia ustawi wa nchi nyingine za maziwa makuu.Kama katiba inaruhusu JK anasifa ya kuendelea kuliongoza Taifa la Tanzania.