Kaptula la Marx
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 981
- 449
BAVICHA katika ubora wenuuu!!!!!!!!
Siasa zipi za kidini? CCM ndio wana siasa za kidini. Mwaka 2000-CUF chama cha Kiislamu, 2010 CHADEMA chama cha Kikristo, mgombea ni Padre amewekwa na kanisa Katoliki; mwaka 2015, Lowassa Mlutheri n.k. Hoja ya udini imefeli, sasa wanadhani watatumia udini kuwafarakanisha Wakristo maana mwaka huu Wakristo na Waislamu wameungana. Mimi ni Mkatoliki lakini nitampgia Lowassa kura. Km ni propaganda za udini huko huko kwenu