Rais Kikwete anakaribia kuvunja Rekodi.

Rais Kikwete anakaribia kuvunja Rekodi.

Status
Not open for further replies.

stata mzuka

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2012
Posts
4,834
Reaction score
1,765
Mh.Rais Kikwete anakaribia kuvunja Rekodi kwa kusafiri nje ya nchi ambayo hadi sasa inashikiliwa na aliyekuwa Rais wa Nigeria Olusegun Obasanjo aliyedumu madarakani miaka 8 kuanzia 29May 1999-2007.
Rais Obasanjo kasafiri jumla ya safari 400 nje ya nchi na wanadai karibia safari zote hizo hazikuwa na tija yoyote kwa manufaa ya nchi yake.


NB:
Kikubwa cha kuangalia kwa Rais wetu je hizo safari zina manufaa yoyote kwa Tanzania au ndo ufujaji vibaya wa fedha za Umma?
 
Mh.Rais Kikwete anakaribia kuvunja Rekodi kwa kusafiri nje ya nchi ambayo hadi sasa inashikiliwa na aliyekuwa Rais wa Nigeria Olusegun Obasanjo aliyedumu madarakani miaka 8 kuanzia 29May 1999-2007.
Rais Obasanjo kasafiri jumla ya safari 400 nje ya nchi na wanadai karibia safari zote hizo hazikuwa na tija yoyote kwa manufaa ya nchi yake.


NB:
Kikubwa cha kuangalia kwa Rais wetu je hizo safari zina manufaa yoyote kwa Tanzania au ndo ufujaji vibaya wa fedha za Umma?

JK amefikisha safari ngapi za nje mpaka sasa# mzuka.?
 
Mh.Rais Kikwete anakaribia kuvunja Rekodi kwa kusafiri nje ya nchi ambayo hadi sasa inashikiliwa na aliyekuwa Rais wa Nigeria Olusegun Obasanjo aliyedumu madarakani miaka 8 kuanzia 29May 1999-2007.
Rais Obasanjo kasafiri jumla ya safari 400 nje ya nchi na wanadai karibia safari zote hizo hazikuwa na tija yoyote kwa manufaa ya nchi yake.


NB:
Kikubwa cha kuangalia kwa Rais wetu je hizo safari zina manufaa yoyote kwa Tanzania au ndo ufujaji vibaya wa fedha za Umma?
Jana kasema kwa safari zake amepata alama za juu yaani amekuwa wa kwanza ndiyo maana tumepewa misaada/mikopo mingi kuliko nchi yoyote barani Afrika bila kuangalia lini na nani atalipa hiyo mikopo, asichojua ni kuwa wazungu wanachekea moyoni maana wanajua wapi watampata.
 
Mh.Rais Kikwete anakaribia kuvunja Rekodi kwa kusafiri nje ya nchi ambayo hadi sasa inashikiliwa na aliyekuwa Rais wa Nigeria Olusegun Obasanjo aliyedumu madarakani miaka 8 kuanzia 29May 1999-2007.
Rais Obasanjo kasafiri jumla ya safari 400 nje ya nchi na wanadai karibia safari zote hizo hazikuwa na tija yoyote kwa manufaa ya nchi yake.


NB:
Kikubwa cha kuangalia kwa Rais wetu je hizo safari zina manufaa yoyote kwa Tanzania au ndo ufujaji vibaya wa fedha za Umma?

Itabidi nan yeye waanza numsachi kila anapotembela nchi za nje, labda atapunguza safari hizo.
Maana Tanzania sasa ni 'kinara' wa dawa za kulevya.

[h=3]RAY C ALIKWA IKULU NA MH. RAIS[/h]
Kumekuwepo na mitazamo tofauti kuhusiana na uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kumwalika Ikulu Rehema Chalamila ambaye alienda kumshukuru kwa msaada alioupata kutoka kwake ili kulipia gharama za matibabu anayoendelea kuyapata baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya. Wewe una mtazamo gani?



18794_503884789644960_1842827703_n.jpg
 
kuna uzi humu unahusu safari za mr fasti jet ni zaidi ya 350 so fa na kila safari gharama ni zaidi ya 300ml kwa mujibu wa wachambuzi
 
vipi safari yule mwizi wa wake wa watu mbona hamjazibainisa.
 
kama kusafiri kungekuwa kielelezo cha maendeleo basi Tanzania kupitia MH jk ingekuwa nchi yenye maendeleo kuliko zote duniani.

Na hakuna Rais ambaye anaweza kusafiri kama Rais wetu,yeye hachoki.
 
kuna uzi humu unahusu safari za mr fasti jet ni zaidi ya 350 so fa na kila safari gharama ni zaidi ya 300ml kwa mujibu wa wachambuzi

acha rais asafiri atumikie taifa lake mbowe kapata uenyekiti wa chama tu lakini tangu mwezi wa pili hajawahi kukanyaga hai.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom