mkandi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 281
- 121
Mkuu, Precision ni ya watu binafsi ingekuwa ATCL ndio inaruka kwenda Mbeya, ungekuwa na haki ya kumpongeza. Why tuue ndege ya Umma na tupongeze mabepari wanaoingiza pesa binafsi??
Kwa taarifa yako. Mwakyembe ameingia katika wizara hiyo ATCL ikiwa angani. Kwa sasa ATCL iko mahututi kama sio kaburini na sababu kubwa no makosa aliyoyafanya mwakyembe kumfukuza Chizi.
Usafiri wa treni ni mpango ulioanzishwa zamani sana mkuu fuatilia vema, isipokuwa ni kwamba umeanza kipindi ambacho Mwakyembe yuko madarakani. Unakumbuka yale mabehewa ya Uda yalibadilishwa ili kubeba abiria Dar kwa njia ya Treni? Mwakyembe wakati huo alikuwa bado Mbunge wa Afrika Mshariki,So amekuta mpango uko mwishoni na ndio sifa anayopata ingawa walistahili hawapo madarakani now
TRL wanafanya hiyo kazi tangu enzi za TRC na kitengo cha maintanence kinafanya kazi frequently
BTW
Mambo mengi yanatofanywa sasa ni utekelezwaji wa mipango ambayo ilianza zamani sana na ikawa katika pipeline. tatizo tumezoea kusifia end product badala ya initiator wa mpango mzima.
Tatizo tulilonalo Tanzania ni utekelezaji anyway; kwenye Mipango tupo fit. Nae katekeleza
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums