Kwa maisha anayoishi kama mwenyekiti wa chama, kina Kafulila hawawezi kuwa na nafasi ndani ya chama. Hata hivyo namsikitikia sana Machali. Nimekuwa mjini Kasulu kwa siku zaidi ya 5 kuanzia tarehe 13 mwezi huu. Hali ya kisiasa kwa Machali na chama chake mjini hapo ni ya mashaka sana.
Mkuu tuombe uhai kwani 2015 si mbali.Hiki chama hakitapata hata diwani mmoja.Nani atachagua vyama vya hovyo hovyo ambavyo vinanuka migogoro kila kukicha.Vyama ambavyo Mwenyekiti ni Mungu mtu na atakayemsema tu anafukuzwa uanachama? Shame on Mbatia and his gang!