Tukichukulia hivyo, bora CDM iwe Simba! LOL
Ameenda kufanya mazoezi nyumbani kwa Lwaiganan.... ha ha ha ha...JK kiboko!
Ukiangalia hizi picha kweli utawaona wanaofanya mazoezi kwa dhati. Nina mashaka na picha ya kwanza toka juu na nina imani kwa nyuma kuna ambulance!.
Tatizo hawa maraisi wakiwa wanafanya mazoezi huwalazimisha na walinzi wao wawe wafanye mazoezi si kwa kupenda ... ila basi tu hawana jinsi!
Ukiangalia hizi picha kweli utawaona wanaofanya mazoezi kwa dhati. Nina mashaka na picha ya kwanza toka juu na nina imani kwa nyuma kuna ambulance!
mwambieni ajiunge na kitambi fc
Huu siyo mfano mzuri kabisa, Rais anatumia masaa matatu kufanya mazoezi? Kazi anafanya masaa ngapi?
Huyu mkweree hapo anafanya ubishoo tu kwani huwezi kufanya mazoezi huku umevaa bullet proof vest!! Anagalia kifua chake kilivyojaa!!
mwambieni ajiunge na kitambi fc
Huu siyo mfano mzuri kabisa, Rais anatumia masaa matatu kufanya mazoezi? Kazi anafanya masaa ngapi?