Rais Kikwete aenda Uswisi

Rais Kikwete aenda Uswisi

Kiukweli jk anachekesha sana. Wtz wanaumia sana, ukute 2015 wtz wakachagua mfumo wa ccm badala ya mfumo mpya.
 
Ndio maana alikuwa anataka bernard a.k.a bakari awe mrithi wake ili aendelee kuzulula tena kwa miaka mitano.
 
Sofia Simba mkavuuu, alikuwepo Airport kumsubiri Magufuli akaenda kumuaga Mkuu kwa Bahasha zote wakati juzi walikinukisha wakazimwa kijeshi. mwenzie Nchimbi na Kingunge hata kutoa Mafuvu yao hadharani wanaona Aibu
Siasa na wanasiasa ni kama ugomvi wa watoto. Ukihamaki watoto wanapogombana, unapoteza muda kwani baada ya kufuta kamasi utawakuta wakiwa pamoja wakicheza.
 
Hawa ndio viongozi wa kiafrika hususani Tanzania. Mialiko yote wanahudhuria hata kama haina maana kwako. Naona mkuu anaendeleza utalii na kutembeza bakuri ya kuomba.
 
Pole sana kwa yaliyotokea Dodoma. Siku nyingine muwe mnaweka akiba ya maneno.

Acha kupayuka. Pole ya nini? Wape waliokuwa na wagombea. Mimi nilibaki kati maana sikutaka kufanya ujinga wa 2005. Nimewapa haki wagombea wote isipokuwa mhujumu uchumi lazaro nyalandu.
 
Lowassa amealikwa kwenye harambee ya ujenzi Wa kanisa mwanza nendeni mkamuunge mkono mmalizia zile hela walizochanga kina karamagi!

😕duh..ataenda kweli...ccm watasema nini nayo ni kampeni au?
 
Acha kupayuka. Pole ya nini? Wape waliokuwa na wagombea. Mimi nilibaki kati maana sikutaka kufanya ujinga wa 2005. Nimewapa haki wagombea wote isipokuwa mhujumu uchumi lazaro nyalandu.

Pole sana, leo unajitenga na Kipeperushi chenu cha Jamhuri?? 😀 😀, subirini walau siku zipite ndo mseme Mmeanza kusahau.Unataka kumsafisha Mgombea wako kiasi cha kuona kati ya watia nia 42 Lazaro ndo alikuwa Mhujumu uchumi zaidi?
 
sikujua kama wewe ni mpumbavu kiasi hiki. eti na wewe ni muandishi wa habari! kweli nimeamini hii kazi inafanywa na wafu waliokosa alternative baada ya kutaga f4.
rais ameenda uswisi kikazi wewe unakuja na upumbavu wako hapa. ....nina zako.

Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.
 
kituo cha polisi kimevamiwa, askari wanne na raia watatu wapoteza maisha, rais huyo uswisi.Africa tuna majanga sio viongozi hawa!
 
sikujua kama wewe ni mpumbavu kiasi hiki. eti na wewe ni muandishi wa habari! kweli nimeamini hii kazi inafanywa na wafu waliokosa alternative baada ya kutaga f4.
rais ameenda uswisi kikazi wewe unakuja na upumbavu wako hapa. ....nina zako.
Jazba za nini? Jadili hoja. Mada hapa ni Rais kikwete kwenda Uswis. Usidhani unaweza kuni~provoke ili nikose adabu! Hili jukwaa la watu wastaarabu.
 
sikujua kama wewe ni mpumbavu kiasi hiki. eti na wewe ni muandishi wa habari! kweli nimeamini hii kazi inafanywa na wafu waliokosa alternative baada ya kutaga f4.
rais ameenda uswisi kikazi wewe unakuja na upumbavu wako hapa. ....nina zako.

Kazi gani? Wenzake wakiwa nje ya nchi zao likitokea tatizo kwenye nchi zao hukatiza ziara mara moja na kurudi nyumbani, lakini Mkwele ndivyo sivyo nchi haiko salama yeye anakwenda kuzurura kwa vimada wake.

Hivi unadhani nchi iko salama? Unajuwa idadi ya bunduki aina ya SMG zilizopolwa pale stakishari polisi ni ngapi? Unajuwa platoon ya kijeshi inaundwa na wapiganaji wangapi?

Funga domo lako wakati watu wanadiscuss serious issues au nenda Instagram ukaangalie mapicha maana ndio level yako.

Eti nina zako! Zake zipi? Jinga kabisa.
 
da huyu mzee kazid wallah.kasafiri sana duniani ila naamini alichokifanya atalipwa hapa hapa dunian,
 
Bwana mkubwa keshapaa kwenda Geneva, Uswis kupumzika baada ya hekaheka za Dodoma.

Sidhani kama Magufuli au huyo wa UKAWA ataambulia kitu katika chungu cha hazina ya taifa.

Hahaha! JK utakumbukwa kwa hilo la kukaa angani! Duh! Ukitoka huko pitia kwa Obama pia
 
Taarifa za uhakika nilizopenyezewa na mdau wangu ni kwamba...Punde tu baada ya Jakaya Kikwete kupewa taarifa za Bernard Membe kushindwa, alilia machozi na mdau wangu anasema, nilishuhudia Jakaya akilia, baadae akatoa kitambaa kufuta machozi...acha akatulize mawazo na kujiliwaza huko nje.
 
Back
Top Bottom