Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Pasco, mbona unaandika kinafiki? Yaani kukaa siku nne kuomboleza msiba wa pacha wa baba wa taifa we unaona nongwa?
Baada ya mazishi atarudi Tanzania. After two weeks ataenda tena SA kuhani msiba kwa takriban siku 7. Baada ya hapo itakuwa tayari 2014 imefika si itamlazimu aanza kupita kwenye nchi zooooote alizotembelea akiwa Rais kuaga.