kelvito
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 386
- 100
huyu bwana anatumia sana masab yake kuliko kichwa!Picha za mashamba aliyotembelea
View attachment 61600
View attachment 61601
View attachment 61603
View attachment 61601
huyu bwana anatumia sana masab yake kuliko kichwa!Picha za mashamba aliyotembelea
View attachment 61600
View attachment 61601
View attachment 61603
View attachment 61601
Kwahiyo tunamlipia nauli kwenda kutembelea mashamba.Huyu baba jamani
kwahiyo tunamlipia nauli kwenda kutembelea mashamba.
sisi huku kwetu (ambapo ni Afrika pia) huwa mtu akija msibani ni kuhudhuria matanga tu na hairuhusiwi hata kutumia huo muda wa msiba kusalimia hata majirani, maana ni wakati wa huzuni na wote mnakutana msibani!
Sasa mara umekuja msibani alafu kumaliza tu mazishi unaenda kwa 'Ta Muganyizi' kuangalia au kuomba mbegu nzuri ya migomba kwa hakika inatia shaka kama kilichokupeleka ni msiba au ulikuwa na lako jambo!!!
Mkuu mbona unazunguka sana?!!!! sema hiyo ziara ilitakiwa ifanywe na maofisa kilimo pale wizarani kilimo na chakula na wakitoka hapo waende kila wilaya ya Tanzania kupeleka elimu ya walichojifunza kwa wakulima wetuKuna siku alisafiri katika moja ya nchi za kusini mwa Afrika, akatembelea 'ranchi' za ng'ombe akashangaa sana ukubwa wa ng'ombe wale aliowaona, akasema, namnukuu, 'sijawahi kuona ng'ombe wakubwa kiasi hiki' na akauliza jinsi wanavyowatunza. Kwa tukio zuri alikuwa na mmoja wa wataalaamu wa mifugo akamwambia mzee Iringa kuna ng'ombe wakubwa kuliko hawa. Mkuu akabaki anashangaa hana cha kusema kusikia nchini kwake kuna ng'ombe wakubwa kuliko wale.
Yaani mkuu anajua shughuli zinazofanywa na nchi za watu kuliko nchini mwake. Ningemsifu kama angekuwa anavaa viatu vya tope kama mwalimu na kutembelea mashamba ya nyanya ya Iringa, mashamba ya mpunga ya Ifakara, sio kwenda nchi za watu kutumia kodi nyingi bila tija yoyote.
JK uone aibu sasa, umeshatalii vya kutosha hebu miaka iliyobaki tulia nyumbani, sio utoke ikulu ukiwa hujatuachia hata vijisenti kidogo vya kuendesha nchi.