Kuna siku alisafiri katika moja ya nchi za kusini mwa Afrika, akatembelea 'ranchi' za ng'ombe akashangaa sana ukubwa wa ng'ombe wale aliowaona, akasema, namnukuu, 'sijawahi kuona ng'ombe wakubwa kiasi hiki' na akauliza jinsi wanavyowatunza. Kwa tukio zuri alikuwa na mmoja wa wataalaamu wa mifugo akamwambia mzee Iringa kuna ng'ombe wakubwa kuliko hawa. Mkuu akabaki anashangaa hana cha kusema kusikia nchini kwake kuna ng'ombe wakubwa kuliko wale.
Yaani mkuu anajua shughuli zinazofanywa na nchi za watu kuliko nchini mwake. Ningemsifu kama angekuwa anavaa viatu vya tope kama mwalimu na kutembelea mashamba ya nyanya ya Iringa, mashamba ya mpunga ya Ifakara, sio kwenda nchi za watu kutumia kodi nyingi bila tija yoyote.
JK uone aibu sasa, umeshatalii vya kutosha hebu miaka iliyobaki tulia nyumbani, sio utoke ikulu ukiwa hujatuachia hata vijisenti kidogo vya kuendesha nchi.
Kuna siku alisafiri katika moja ya nchi za kusini mwa Afrika, akatembelea 'ranchi' za ng'ombe akashangaa sana ukubwa wa ng'ombe wale aliowaona, akasema, namnukuu, 'sijawahi kuona ng'ombe wakubwa kiasi hiki' na akauliza jinsi wanavyowatunza. Kwa tukio zuri alikuwa na mmoja wa wataalaamu wa mifugo akamwambia mzee Iringa kuna ng'ombe wakubwa kuliko hawa. Mkuu akabaki anashangaa hana cha kusema kusikia nchini kwake kuna ng'ombe wakubwa kuliko wale.
Yaani mkuu anajua shughuli zinazofanywa na nchi za watu kuliko nchini mwake. Ningemsifu kama angekuwa anavaa viatu vya tope kama mwalimu na kutembelea mashamba ya nyanya ya Iringa, mashamba ya mpunga ya Ifakara, sio kwenda nchi za watu kutumia kodi nyingi bila tija yoyote.
JK uone aibu sasa, umeshatalii vya kutosha hebu miaka iliyobaki tulia nyumbani, sio utoke ikulu ukiwa hujatuachia hata vijisenti kidogo vya kuendesha nchi.
Wivu wa kike
Msibani kkwenyewe kaenda yeye pamoja na membe, mi najiuliza kwani asingeweza kwenda mmojawapo na mwingine akabaki anfanya majukumu mengine ya ndani, mbona Obama alibaki anapiga kazi huku Clintony akiwa msibani?
Huyu baba jamani[/QU Mmh, kama baba mwenyewe wa kambo vile! Nadhan anamsongo wa mawazo. Au sijui mama keshamshinda!!