Kipengele hicho ni cha sheria ganiBunge haliwezi kumwondoa rais kwa kumpigia kura ya kutokuwa na Imani kama hamna jaji mkuu
Mh Rais acha kujificha kwenye kivuli cha kukosekana jaji mkuu maana una wabunge wakutosha ambao ukiwapa 10m wanakusaidia kama wakati wa ile miswada
Unauhakika haitamtia hofu kma kaimu akisimamia ukweli na magu akapita kwenye kura hizo sio yatakuwa yalevya mbwa na mwenye mbwaMimi nachokijua hata kama hakuna jaji mkuu huyo acting chief justice linapokuja swala la kupiga kura ya kutokua na imani na raisi, huyo raisi hawezi kumtoa mpaka mchakato utakapo kua umemalizika yani huyu jamaa hana anachokijua yeye anahisi sababu ni acting hivyo wakianzisha mchakato anaweza kumtoa kitu ambacho katiba ilishaziba hio loophole
Kama kuna kura imeandaliwa leteni,tumechoka na raic mtoa mapovu mda wote.Bunge haliwezi kumwondoa rais kwa kumpigia kura ya kutokuwa na Imani kama hamna jaji mkuu
Mh Rais acha kujificha kwenye kivuli cha kukosekana jaji mkuu maana una wabunge wakutosha ambao ukiwapa 10m wanakusaidia kama wakati wa ile miswada
Si wapinzani wala wa chama tawala wenye uwezo wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na RaisBunge haliwezi kumwondoa rais kwa kumpigia kura ya kutokuwa na Imani kama hamna jaji mkuu
Mh Rais acha kujificha kwenye kivuli cha kukosekana jaji mkuu maana una wabunge wakutosha ambao ukiwapa 10m wanakusaidia kama wakati wa ile miswada
Mkuu inaonekana Katiba ya JMT hujaisoma ukaielewa! Mchakato wa kumwondoa Rais si lahisi kiasi hicho. Rais anauwezo wa kujivunja Bunge na mchakato wa kuanza uchanguzi mpya ukaanza na Magu ana asilimia 90% ya kurudi kwenye Urais lakini wabunge wengi hasa waupinzani ni 50%. Sasa jiulize kuna mbunge wa upinzani ambaye anaweza kukubali mchakato huo? Mkuu acha kupata stress bure Rais Magufuli atakuwepo mpaka 2025.Bunge haliwezi kumwondoa rais kwa kumpigia kura ya kutokuwa na Imani kama hamna jaji mkuu
Mh Rais acha kujificha kwenye kivuli cha kukosekana jaji mkuu maana una wabunge wakutosha ambao ukiwapa 10m wanakusaidia kama wakati wa ile miswada
Yaani wabunge wa upinzania wasirudi? Umeshafanya utafiti au umeamka usingizini mkuuMkuu inaonekana Katiba ya JMT hujaisoma ukaielewa! Mchakato wa kumwondoa Rais si lahisi kiasi hicho. Rais anauwezo wa kujivunja Bunge na mchakato wa kuanza uchanguzi mpya ukaanza na Magu ana asilimia 90% ya kurudi kwenye Urais lakini wabunge wengi hasa waupinzani ni 50%. Sasa jiulize kuna mbunge wa upinzani ambaye anaweza kukubali mchakato huo? Mkuu acha kupata stress bure Rais Magufuli atakuwepo mpaka 2025.
Una akilinya pungufu. Nafikiri umezaliwa chooni wewe.Si wapinzani wala wa chama tawala wenye uwezo wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais
Kwanza ukitaka uishi kwa amani na usipate stress we elewa tu kuwa Magufuli yupo mapaka 2025.
Mambo ya kuamini Magufuli atapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye au 2020 hatoshinda ni kujitafutia presha tuu na ukichaa,.....
Wa kwanza ambaye hatarudi ni vuvuzela Lissu!Yaani wabunge wa upinzania wasirudi? Umeshafanya utafiti au umeamka usingizini mkuu
Lisu anakuwa vuvuzela? Basi kama Lissu ni vuvuzela kule kwenye Chama Cha Makinikia wabunge wake wote watakua vuvuvuzi.Wa kwanza ambaye hatarudi ni vuvuzela Lissu!
Mhhhhh hii katiba inasadiki baba hakosei?Rais akivunja bunge, Yeye anabaki kuwa Rais.. Wabunge posho zinasimama. Nchi inaweza ikawa bila wabunge, lakini haiwezi kuwa bila rais hats siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Si wapinzani wala wa chama tawala wenye uwezo wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Rais
Kwanza ukitaka uishi kwa amani na usipate stress we elewa tu kuwa Magufuli yupo mapaka 2025.
Mambo ya kuamini Magufuli atapigiwa kura ya kutokuwa na imani naye au 2020 hatoshinda ni kujitafutia presha tuu na ukichaa,.....