Rais wa Tanzania ndio Rais pekee duniani mwenye ruhusa ya kuvunja Sheria au katiba bila kushitakiwa popote hata akistaafu Urais

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Katika utafiti zangu mbali mbali na baada ya kusoma katiba mbali mbali. Nimegundua Rais ana ruhusa ya kuvunja sheria yoyote kabisa bila kushitakiwa popote hata baada ya kustaaafu urais.

Rais anawajibika endapo Jaji mkuu atajiridhizisha kuwa maadili yamevunjwa na baada ya Bunge kuridhia Rais ataondoka madarakani lakini haioneshi atawajibika kwenye vyombo vya mahakama.

Au ugonjwa, au Bunge kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Rais. Imetamkwa Rais ataondoka madarakani lakini haisemi atapelewa mahakamani kujibu tuhuma.

Ukiangalia ni mchakato mrefu wenye mitihani mingi sana kumshitaki Rais kwa makosa yoyote.

Hakuna njia ya Moja kwa Moja ya Rais kuwajibika kwa makosa yoyote.

Kwakuwa Mama Samia ameridhia kuendelea na mchakato wa katiba mpya. Kitu cha kwanza atuwekee uwajibikaji wa Rais.

Mfano kashifa za Rushwa awajibike kwenye tume ya Rushwa au tume yda maadili ya viongozi mara moja.

Nimesoma katiba za East Africa Rais akitoka madarakani anawajibika na matendo yake akiwa ikulu.

Naomba wanasheria mtusaidie hii imekaaje, na kwanini Rais ambae ni binadamu tu kama mwanachi wengine amewekwa ulinzi hivyo?
 
Katika utafiti zangu mbali mbali na baada ya kusoma katiba mbali mbali. Nimegundua Rais ana ruhusa ya kuvunja sheria yoyote kabisa bila kushitakiwa popote hata baada ya kustaaafu urais.


Rais anawajibika endapo Jaji mkuu atajirizisha kuwa maadili yamevunjwa na baada ya Bunge kuridhia Rais ataondoka madarakani lakini Haionyeshi atawajibika kwenye vyombo vya mahakama.

Au ugonjwa, au au Bunge kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Rais. Imetamkwa Rais ataondoka madarakani lakini haisemi atapelewa mahakamani kujibu tuhuma.

Ukiangalia ni mchakato mrefu wenye mitihani mingi sana kumshitaki Rais kwa makosa yoyote.

Hakuna njia ya Moja kwa Moja ya Rais kuwajibika kwa makosa yoyote.

Kwakuwa Mama Samia ameridhia kuendelea na mchakato wa katiba mpya.
Kitu cha kwanza atuwekee uwajibikaji wa Rais.

Mfano kashifa za Rushwa awajibike kwenye tume ya Rushwa au tume yda maadili ya viongozi Mara moja.

Nimesoma katiba za East Africa Rais akitoka madarakani anawajibika na matendo yake akiwa ikulu.

Naomba wanasheria mtusaidie hii imekaaje? Na kwanini Rais ambae ni binadamu tu kama mwanachi wengine amewekwa ulinzi hivyo?
That is why wanatufanyia mazigaombwe kwenye Rasilimali za Taifa.

Kikwete alipasawa awe Segerea gerezani SASA hivi
 
Katika utafiti zangu mbali mbali na baada ya kusoma katiba mbali mbali. Nimegundua Rais ana ruhusa ya kuvunja sheria yoyote kabisa bila kushitakiwa popote hata baada ya kustaaafu urais.


Rais anawajibika endapo Jaji mkuu atajirizisha kuwa maadili yamevunjwa na baada ya Bunge kuridhia Rais ataondoka madarakani lakini Haionyeshi atawajibika kwenye vyombo vya mahakama.

Au ugonjwa, au au Bunge kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Rais. Imetamkwa Rais ataondoka madarakani lakini haisemi atapelewa mahakamani kujibu tuhuma.

Ukiangalia ni mchakato mrefu wenye mitihani mingi sana kumshitaki Rais kwa makosa yoyote.

Hakuna njia ya Moja kwa Moja ya Rais kuwajibika kwa makosa yoyote.

Kwakuwa Mama Samia ameridhia kuendelea na mchakato wa katiba mpya.
Kitu cha kwanza atuwekee uwajibikaji wa Rais.

Mfano kashifa za Rushwa awajibike kwenye tume ya Rushwa au tume yda maadili ya viongozi Mara moja.

Nimesoma katiba za East Africa Rais akitoka madarakani anawajibika na matendo yake akiwa ikulu.

Naomba wanasheria mtusaidie hii imekaaje? Na kwanini Rais ambae ni binadamu tu kama mwanachi wengine amewekwa ulinzi hivyo?
Ma shaa Allah, uzuri wa Mama Samia ni mcha Mungu, havunji sheria.

Mlaumu Nyerere aliyeitunga katiba tuliyonayo.
 
Tujifunze kusoma vitu na kuelewa na Zaidi Katiba sio kipeperushi ambacho Kila mjinga anaweza kukitolea tafsiri.

Rais kapewa Kinga ya kutoshtakiwa kwa masuala yanayohusu utekelezaji wa masuala yake kama Rais na sio vinginevyo na sababu ni mbili:

Maamuzi yote anayofanya Rais yamepewa baraka na baraza la mawaziri na utekelezaji wa maamuzi wa baraza la mawaziri unafanywa na mawaziri husika. Litakuwa jambo la ajabu kidogo kama tutaamua kumshtaki Rais kwa makosa ya mawaziri wake. Waziri ndio anahusika Moja Kwa Moja na mipango, sera na utekelezaji.

Rais kutoshtakiwa limeleta utulivu Fulani katika utendaji wa Rais na kuondoa uwezekano wa watendaji kutomtoposha Rais Kwa lengo la kumuamgushia jumba bovu.
 
Tujifunze kusoma vitu na kuelewa na Zaidi Katiba sio kipeperushi ambacho Kila mjinga anaweza kukitolea tafsiri.

Rais kapewa Kinga ya kutoshtakiwa kwa masuala yanayohusu utekelezaji wa masuala yake kama Rais na sio vinginevyo na sababu ni mbili:

Maamuzi yote anayofanya Rais yamepewa baraka na baraza la mawaziri na utekelezaji wa maamuzi wa baraza la mawaziri unafanywa na mawaziri husika. Litakuwa jambo la ajabu kidogo kama tutaamua kumshtaki Rais kwa makosa ya mawaziri wake. Waziri ndio anahusika Moja Kwa Moja na mipango, sera na utekelezaji.

Rais kutoshtakiwa limeleta utulivu Fulani katika utendaji wa Rais na kuondoa uwezekano wa watendaji kutomtoposha Rais Kwa lengo la kumuamgushia jumba bovu.
Katika mkataba wa bandari Rais aliweka Sahihi lakini Kaka.
 
Tujifunze kusoma vitu na kuelewa na Zaidi Katiba sio kipeperushi ambacho Kila mjinga anaweza kukitolea tafsiri.

Rais kapewa Kinga ya kutoshtakiwa kwa masuala yanayohusu utekelezaji wa masuala yake kama Rais na sio vinginevyo na sababu ni mbili:

Maamuzi yote anayofanya Rais yamepewa baraka na baraza la mawaziri na utekelezaji wa maamuzi wa baraza la mawaziri unafanywa na mawaziri husika. Litakuwa jambo la ajabu kidogo kama tutaamua kumshtaki Rais kwa makosa ya mawaziri wake. Waziri ndio anahusika Moja Kwa Moja na mipango, sera na utekelezaji.

Rais kutoshtakiwa limeleta utulivu Fulani katika utendaji wa Rais na kuondoa uwezekano wa watendaji kutomtoposha Rais Kwa lengo la kumuamgushia jumba bovu.
Mikataba mingi inawekwa mbele ya rais Sasa kwanini asiwajibike?
 
Katika utafiti zangu mbali mbali na baada ya kusoma katiba mbali mbali. Nimegundua Rais ana ruhusa ya kuvunja sheria yoyote kabisa bila kushitakiwa popote hata baada ya kustaaafu urais.


Rais anawajibika endapo Jaji mkuu atajiridhizisha kuwa maadili yamevunjwa na baada ya Bunge kuridhia Rais ataondoka madarakani lakini Haionyeshi atawajibika kwenye vyombo vya mahakama.

Au ugonjwa, au au Bunge kupiga kura ya kutokuwa na Imani na Rais. Imetamkwa Rais ataondoka madarakani lakini haisemi atapelewa mahakamani kujibu tuhuma.

Ukiangalia ni mchakato mrefu wenye mitihani mingi sana kumshitaki Rais kwa makosa yoyote.

Hakuna njia ya Moja kwa Moja ya Rais kuwajibika kwa makosa yoyote.

Kwakuwa Mama Samia ameridhia kuendelea na mchakato wa katiba mpya.
Kitu cha kwanza atuwekee uwajibikaji wa Rais.

Mfano kashifa za Rushwa awajibike kwenye tume ya Rushwa au tume yda maadili ya viongozi Mara moja.

Nimesoma katiba za East Africa Rais akitoka madarakani anawajibika na matendo yake akiwa ikulu.

Naomba wanasheria mtusaidie hii imekaaje? Na kwanini Rais ambae ni binadamu tu kama mwanachi wengine amewekwa ulinzi hivyo?
Tanzania ni nchi ya sandakalewe mwenye kupata kapata mwenyekukosa kakosa.
 
Lakini mambo yanatakiwa kubadilika
Wanaotakiwa kubadilisha mambo ni watanzania wenyewe ambao wako bissy na simba na yanga,sio chadema au kundi la watu fulani,wabongo wanaishi maisha magumu ukipita uswahilini watu wanakula mihogo mikavu likija swala la kudai haki kila mtu yuko busy mambo yake,acha tuuzwe.
 
Wanaotakiwa kubadilisha mambo ni watanzania wenyewe ambao wako bissy na simba na yanga,sio chadema au kundi la watu fulani,wabongo wanaishi maisha magumu ukipita uswahilini watu wanakula mihogo mikavu likija swala la kudai haki kila mtu yuko busy mambo yake,acha tuuzwe.
Aanza wewe
 
Back
Top Bottom