Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Rais mpya wa DRC ndugu Felix Tshisekedi atazuru nchini kesho kwa ziara ya siku mbili yenye dhumuni kubwa la kuboresha mahusiano ya kiuchumi,ulinzi na usalama.
Wale wenye macho ya fursa wakati ndio sasa.
Nawasilisha.
======
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi, Juni 13 kwa ajili ya ziara ya siku mbili
Siku chache zilizopita Rais Tshisekedi aliandikwa barua kwenda kwa Rais wa Rwanda ambaye ndiye Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika Mashariki akiwasilisha ombi la nchi yake kuwa mwananchama wa umoja huo
Tshisekedi alichaguliwa kuwa Rais wa DRC Januari mwaka huu akichukua nafasi ya Joseph Kabila
Rais mpya wa DRC ndugu Felix Tshisekedi atazuru nchini kesho kwa ziara ya siku mbili yenye dhumuni kubwa la kuboresha mahusiano ya kiuchumi,ulinzi na usalama.
Wale wenye macho ya fursa wakati ndio sasa.
Nawasilisha.
======
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi, Juni 13 kwa ajili ya ziara ya siku mbili
Siku chache zilizopita Rais Tshisekedi aliandikwa barua kwenda kwa Rais wa Rwanda ambaye ndiye Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika Mashariki akiwasilisha ombi la nchi yake kuwa mwananchama wa umoja huo
Tshisekedi alichaguliwa kuwa Rais wa DRC Januari mwaka huu akichukua nafasi ya Joseph Kabila