Rais Felix Tshisekedi wa DR Congo kuwasili nchini Juni 13, 2019

Ndugu zangu,

Rais mpya wa DRC ndugu Felix Tshisekedi atazuru nchini kesho kwa ziara ya siku mbili yenye dhumuni kubwa la kuboresha mahusiano ya kiuchumi,ulinzi na usalama.

Wale wenye macho ya fursa wakati ndio sasa.

Nawasilisha.

Ana fursa kweli? Maana juzi rais amesikika akisema hajaona faida yoyote toka viongozi mbalimbali wametembelea nchi hii. Au ni business as usual?
 
safi sana kwa president wa DRC kututembelea,huu ndio wakati tuliokuwa tunauomba please serikali yangu tutumie fursa hii kumshawishi mgeni wetu abadilishe mawazo ya kutumia bandari za Beira,Durban,na Walvis Bay kwa kusafirisha bidhaa kutoka DRC,na aje atumie bandari yetu ya Dar ambayo ipo karibu zaidi na DRC,tumhakikishie kuwa bandari yetu ina vifaa vya kisasa na wataalamu wa kuendesha bandari kwa ufanisi wa hali ya juu,tuipanue barabara yetu ya TAZAM iwe ya kisasa zaidi na ule upuuzi wa matuta ya mikumi futilia mbali na hata ya pale Mbeya,na ikibidi ile barabara ipitishwe nje na jiji la Mbeya.
 
Lengo hapa ni kujionyesha kuwa tanzania ni manamba na ina ushawishi kwenye nchi za kiafrika ili misaada isikatwe.

Trust me utaona vioja vingi sana ili tu mzungu aendelee kutusaidia tutawaalika waafrika kutoka vichakani kote Afrika lakini lengo ni kumuonesha mzungu ushawishi wetu teh teh
Natamani niandike mengi kuhusu wew na post yako. Anyway nikuhurumie tu Kwa kupata tabu inayokukabili.
Taratibu tu utaelewa usijari.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Ndugu zangu,

Rais mpya wa DRC ndugu Felix Tshisekedi atazuru nchini kesho kwa ziara ya siku mbili yenye dhumuni kubwa la kuboresha mahusiano ya kiuchumi,ulinzi na usalama.

Wale wenye macho ya fursa wakati ndio sasa.

Nawasilisha.


Poa, tutamchezea ngoma .... viuno kibao na mijoka! Bureee
 
Ndugu zangu,

Rais mpya wa DRC ndugu Felix Tshisekedi atazuru nchini kesho kwa ziara ya siku mbili yenye dhumuni kubwa la kuboresha mahusiano ya kiuchumi,ulinzi na usalama.

Wale wenye macho ya fursa wakati ndio sasa.

Nawasilisha.
Habari kama hizi zinawaumiza sana mioyo wana chadema
 
unafikiri hao anaokuja nao wanachukuliwa popote pale mitaani ? mbona hupendi wageni mkuu? wanaleta biashara hao hivi unajuwa mizigo mingapi ya congo inapita bandarini? inaingiza kiasi gani kaa kimya
Mkuu hao wengine uwa wanaitakia mabaya tu nchi ambao wenyewe washajitoa sio ya kwao lkn wameshajitoa ufahamu kama vizazi vyao vijavyo vitakuja kuishi kwenye nchi hii
 
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi anatarajiwa kuwasili nchini leo Alhamisi, Juni 13 kwa ajili ya ziara ya siku mbili

Siku chache zilizopita Rais Tshisekedi aliandikwa barua kwenda kwa Rais wa Rwanda ambaye ndiye Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika Mashariki akiwasilisha ombi la nchi yake kuwa mwananchama wa umoja huo

Tshisekedi alichaguliwa kuwa Rais wa DRC Januari mwaka huu akichukua nafasi ya Joseph Kabila
 
Back
Top Bottom