Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amefungua mchezo maalum wa mpira wa miguu ulioshirikisha Zanzibar Heroes dhidi ya Kilimanjaro Stars baada ya ufunguzi wa uwanja mpya wa Amaan Complex uliofanyiwa ukarabati mkubwa.
Rais Dk. Mwinyi atakabidhi kiasi cha shilingi milioni 10 kwa kila timu.
Mchezo unafanyika uwanja mpya wa Amaan Complex, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 27 Desemba 2023.
Rais Dk. Mwinyi atakabidhi kiasi cha shilingi milioni 10 kwa kila timu.
Mchezo unafanyika uwanja mpya wa Amaan Complex, Mkoa wa Mjini Magharibi tarehe 27 Desemba 2023.