Rais Dkt. Magufuli na Serikali yako haraka sana imulikeni BBC idhaa ya Kiswahili

Yule Regina Mwalekwa utadhani bado yupo Uhuru FM au TBCCM,anavyoipamba serikali ya Magu
 
Kuifungia ikikiuka inawezekana wala msilembe saana,wabalance habari,nionavyo mm inaingia kwenye siasa kiaina
 
Hii idhaa ya BBC ( Radio ) ipo au inasikika takriban katika nchi zote tano ( 5 ) za Maziwa Makuu ( Great Lakes ) zikiwemo Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi huku kwa mbali sana kule kwa majirani zetu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lakini cha kushangaza hawa BBC Idhaa ya Kiswahili wao interest yao ni mabaya tu yanayotokea nchini Tanzania na hasa hasa yakiwa yamefanywa na Rais Dkt. Magufuli au mmoja wa Watendaji wake wa katika Serikali yake.

Mfano hai tu mara baada ya Kauli ya Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli juzi dhidi ya Mabinti wa Shule na upataji Mimba / Ujauzito Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) walichokifanya wao ni kutafuta tu maoni ya upande mmoja tena ule ambao unaiponda Serikali na maamuzi ya Mheshimiwa Rais na kama haitoshi hawa hawa BBC Swahili badala ya kutafuta maoni ya Watu kutoka hapa hapa Tanzania wao wamekuwa wakitafuta Watu kutoka nchini Kenya na kuyasemea mambo yanayoendelea Tanzania kitu ambacho sidhani kama kina afya sana Kiueledi.

Tafadhali Rais Dkt. Magufuli, Waziri Dkt. Mwakyembe na Mamlaka zingine zote husika hebu haraka sana imulikeni kwa jicho la Kiumakini mno hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) vinginevyo mkiendelea kuwalea hawa Watu kuna siku yaliyofanywa na hii Redio ya RTLM mwaka 1994 huko nchini Rwanda yanaweza pia yakatokea hapa nchini Tanzania.

Nawasilisha.
Kumbe BIASED inachukiza eeh?

- Hawa hawa BBC walimuhoji Lowassa in such a way wanauliza swali lakini wasimpe nafasi ya kulijibu.
- Hawa hawa BBC walimuhoji Maalim Seif kizushi, halafu wakaja kumhoji Jecha kwa kumpa nafasi ya kujimwaga.
Ikiwa vyama vya upinzani vimenyimwa kufanya mikutano, na juzi tunaona CCM wakijimwaga Mwanza, unataka hali kama hiyo isemewe kwa kupambwa vipi na BBC?

Kituo kinachoifanania RTLM ya kule kwenu ni Star TV sio BBC. Kuhusu kutafuta maoni kutoka kwa Wakenya badala ya Watanzania, sioni ubaya wake. Hayo ni maoni ya Wakenya juu ya siasa za Tanzania kama ambavyo na sisi tunayo maoni yetu juu ya siasa za Kenya.

Cha msingi tuwe wafanya mazuri ili tuzungumzwe vizuri na sio kuwapangia watu cha kuzungumza.
 
Si jambo la kushangaza hilo, kwani huku si ndio jamaa alienda akasema, " if you can nini sijui then kill me"?
 
Nilikuwa nasikia na nikawa napuuzia ila kwa takribani mwezi mmoja sasa nimekuwa nikiifuatilia na kuisikiliza kiumakini sana Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) hadi hatimaye nikaja kupata majibu yangu ambayo hayapishani sana na ya Wale wenzangu waliyoyaona mapema kabla yangu.

Sasa siyo Siri tena kwamba hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) ina chuki narudia tena kusema ina chuki ya waziwazi na Rais Dkt. Magufuli na Serikali yake. Hili linathibitika sana na maudhui ( Content ) yake hasa katika mambo yanayoihusu nchi ya Tanzania.

BBC Swahili siku zote wakija hewani lazima waje na something negative juu ya ama Rais Dkt. Magufuli au Serikali yake na ni nadra sana kuwasikia BBC Swahili ( Radio ) wakisema mabaya ya nchi ya Kenya labda kwakuwa wengi wa Watangazaji wao wa sasa hasa Bosi wao Mkuu anatokea nchini Kenya.

Hii idhaa ya BBC ( Radio ) ipo au inasikika takriban katika nchi zote tano ( 5 ) za Maziwa Makuu ( Great Lakes ) zikiwemo Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi huku kwa mbali sana kule kwa majirani zetu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lakini cha kushangaza hawa BBC Idhaa ya Kiswahili wao interest yao ni mabaya tu yanayotokea nchini Tanzania na hasa hasa yakiwa yamefanywa na Rais Dkt. Magufuli au mmoja wa Watendaji wake wa katika Serikali yake.

Mfano hai tu mara baada ya Kauli ya Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli juzi dhidi ya Mabinti wa Shule na upataji Mimba / Ujauzito Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) walichokifanya wao ni kutafuta tu maoni ya upande mmoja tena ule ambao unaiponda Serikali na maamuzi ya Mheshimiwa Rais na kama haitoshi hawa hawa BBC Swahili badala ya kutafuta maoni ya Watu kutoka hapa hapa Tanzania wao wamekuwa wakitafuta Watu kutoka nchini Kenya na kuyasemea mambo yanayoendelea Tanzania kitu ambacho sidhani kama kina afya sana Kiueledi.

Napatwa na hisia kuwa yawezekana sasa hii idhaa ya Kiswahili ya BBC imekuwa ni moja ya Silaha Kali lakini iliyojificha ya kuweza kuangamiza juhudi zote za Rais Dkt. Magufuli pamoja na Serikali yake yote au yawezekana pia BBC Swahili ( Radio ) wanatumika na Maadui wakubwa wa Mheshimiwa Rais au nchi yetu nzuri ya Tanzania.

Tafadhali Rais Dkt. Magufuli, Waziri Dkt. Mwakyembe na Mamlaka zingine zote husika hebu haraka sana imulikeni kwa jicho la Kiumakini mno hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) vinginevyo mkiendelea kuwalea hawa Watu kuna siku yaliyofanywa na hii Redio ya RTLM mwaka 1994 huko nchini Rwanda yanaweza pia yakatokea hapa nchini Tanzania.

Nawasilisha.
Mtoa mada you're right mara nyingi watu hawafaham about Neo colonialism,
Moja ya vitu hivyo ni redio ambazo Mara nying huzipinga Sera za vongozi waadilifu kama nyerere wakati huo, Mugabe na hats magufuli has a na kutokana ya wajumbe wa bodi ya Accacia wengi walikuwa viongozi wenye nyazifa kubwa, so kuzuia kwa magufuli accacia kuwanyonya Tz imewauzi, hivyo watafanya kama ya misr,Libya hats na yemen had Rwanda so wa Tz tubadilike na tuone wot mtoa mada analenga
 
Nilikuwa nasikia na nikawa napuuzia ila kwa takribani mwezi mmoja sasa nimekuwa nikiifuatilia na kuisikiliza kiumakini sana Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) hadi hatimaye nikaja kupata majibu yangu ambayo hayapishani sana na ya Wale wenzangu waliyoyaona mapema kabla yangu.

Sasa siyo Siri tena kwamba hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) ina chuki narudia tena kusema ina chuki ya waziwazi na Rais Dkt. Magufuli na Serikali yake. Hili linathibitika sana na maudhui ( Content ) yake hasa katika mambo yanayoihusu nchi ya Tanzania.

BBC Swahili siku zote wakija hewani lazima waje na something negative juu ya ama Rais Dkt. Magufuli au Serikali yake na ni nadra sana kuwasikia BBC Swahili ( Radio ) wakisema mabaya ya nchi ya Kenya labda kwakuwa wengi wa Watangazaji wao wa sasa hasa Bosi wao Mkuu anatokea nchini Kenya.

Hii idhaa ya BBC ( Radio ) ipo au inasikika takriban katika nchi zote tano ( 5 ) za Maziwa Makuu ( Great Lakes ) zikiwemo Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi huku kwa mbali sana kule kwa majirani zetu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lakini cha kushangaza hawa BBC Idhaa ya Kiswahili wao interest yao ni mabaya tu yanayotokea nchini Tanzania na hasa hasa yakiwa yamefanywa na Rais Dkt. Magufuli au mmoja wa Watendaji wake wa katika Serikali yake.

Mfano hai tu mara baada ya Kauli ya Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli juzi dhidi ya Mabinti wa Shule na upataji Mimba / Ujauzito Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) walichokifanya wao ni kutafuta tu maoni ya upande mmoja tena ule ambao unaiponda Serikali na maamuzi ya Mheshimiwa Rais na kama haitoshi hawa hawa BBC Swahili badala ya kutafuta maoni ya Watu kutoka hapa hapa Tanzania wao wamekuwa wakitafuta Watu kutoka nchini Kenya na kuyasemea mambo yanayoendelea Tanzania kitu ambacho sidhani kama kina afya sana Kiueledi.

Napatwa na hisia kuwa yawezekana sasa hii idhaa ya Kiswahili ya BBC imekuwa ni moja ya Silaha Kali lakini iliyojificha ya kuweza kuangamiza juhudi zote za Rais Dkt. Magufuli pamoja na Serikali yake yote au yawezekana pia BBC Swahili ( Radio ) wanatumika na Maadui wakubwa wa Mheshimiwa Rais au nchi yetu nzuri ya Tanzania.

Tafadhali Rais Dkt. Magufuli, Waziri Dkt. Mwakyembe na Mamlaka zingine zote husika hebu haraka sana imulikeni kwa jicho la Kiumakini mno hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) vinginevyo mkiendelea kuwalea hawa Watu kuna siku yaliyofanywa na hii Redio ya RTLM mwaka 1994 huko nchini Rwanda yanaweza pia yakatokea hapa nchini Tanzania.

Nawasilisha.
Huo ni uongo wa kiwango cha 4G kabisa, maana pia mimi ni mfuatiliaji mzuri tu wa BBC, na hakuna siku Raisi wetu huyu amewahi kufanya kitu either kiwe kizuri au kibaya kisitangazwe na wale jamaa na uzuri wao wanakitoa kama kilivyo hawaongezi wala kupunguza chochote, kwahiyo usifikiri wale ni TBC au hizi media zetu zingine ndogo ndogo, na huu uzi wako unakuonesha kabisa kabisa upo upamde gani na si wewe peke yake nakumbuka kipindi cha nyuma kidogo kulikuwa na mahojiano kati ya Malim Seif na Salim Kikeke wa BBC kile kipindi kilikosolewa sana na watu waliokuwa upande wa Seif huku kikisifiwa na watu wa upande CCM, na kwa upande wangu sikuona mapungufu ya mtangazaji isipokuwa kumnyima Maalim muda wa kujieleza zaidi. Sasa basi kama hamtaki kukosolewa basi fanyeni mazuri kama hao BBC wanawaombea njaa wakose cha kuongea, hilo linawezekana na siyo kuleta mada isiyo kuwa na fact hapa. NB KUNA VITU VINGI VYA KULETA MAENDELEO VYA KUJADILI KAMA HUNA POINTI WEWE ANGALIA KWA WENZAKO TOA MCHANGO WAKO.
 
Kuhusu Ben Saanane nadhani tayari Mbunge Said Kubenea alishatusadia pale aliposema kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA Freeman Alkaeli Mbowe anajua alipo hivyo iwe mwanzo na mwisho kuanzia leo kusema kuwa Ben Saanane CCM au Serikali au Vyomba vya Ulinzi na Usalama wa Serikali inajua.
Mkuu unaweza weka clip yake hapa. Nimeitafuta sana sijaipata. Najua kweli Kubenea alitamka haya
 
Nilikuwa nasikia na nikawa napuuzia ila kwa takribani mwezi mmoja sasa nimekuwa nikiifuatilia na kuisikiliza kiumakini sana Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) hadi hatimaye nikaja kupata majibu yangu ambayo hayapishani sana na ya Wale wenzangu waliyoyaona mapema kabla yangu.

Sasa siyo Siri tena kwamba hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) ina chuki narudia tena kusema ina chuki ya waziwazi na Rais Dkt. Magufuli na Serikali yake. Hili linathibitika sana na maudhui ( Content ) yake hasa katika mambo yanayoihusu nchi ya Tanzania.

BBC Swahili siku zote wakija hewani lazima waje na something negative juu ya ama Rais Dkt. Magufuli au Serikali yake na ni nadra sana kuwasikia BBC Swahili ( Radio ) wakisema mabaya ya nchi ya Kenya labda kwakuwa wengi wa Watangazaji wao wa sasa hasa Bosi wao Mkuu anatokea nchini Kenya.

Hii idhaa ya BBC ( Radio ) ipo au inasikika takriban katika nchi zote tano ( 5 ) za Maziwa Makuu ( Great Lakes ) zikiwemo Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi huku kwa mbali sana kule kwa majirani zetu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lakini cha kushangaza hawa BBC Idhaa ya Kiswahili wao interest yao ni mabaya tu yanayotokea nchini Tanzania na hasa hasa yakiwa yamefanywa na Rais Dkt. Magufuli au mmoja wa Watendaji wake wa katika Serikali yake.

Mfano hai tu mara baada ya Kauli ya Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli juzi dhidi ya Mabinti wa Shule na upataji Mimba / Ujauzito Idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) walichokifanya wao ni kutafuta tu maoni ya upande mmoja tena ule ambao unaiponda Serikali na maamuzi ya Mheshimiwa Rais na kama haitoshi hawa hawa BBC Swahili badala ya kutafuta maoni ya Watu kutoka hapa hapa Tanzania wao wamekuwa wakitafuta Watu kutoka nchini Kenya na kuyasemea mambo yanayoendelea Tanzania kitu ambacho sidhani kama kina afya sana Kiueledi.

Napatwa na hisia kuwa yawezekana sasa hii idhaa ya Kiswahili ya BBC imekuwa ni moja ya Silaha Kali lakini iliyojificha ya kuweza kuangamiza juhudi zote za Rais Dkt. Magufuli pamoja na Serikali yake yote au yawezekana pia BBC Swahili ( Radio ) wanatumika na Maadui wakubwa wa Mheshimiwa Rais au nchi yetu nzuri ya Tanzania.

Tafadhali Rais Dkt. Magufuli, Waziri Dkt. Mwakyembe na Mamlaka zingine zote husika hebu haraka sana imulikeni kwa jicho la Kiumakini mno hii idhaa ya Kiswahili ya BBC ( Radio ) vinginevyo mkiendelea kuwalea hawa Watu kuna siku yaliyofanywa na hii Redio ya RTLM mwaka 1994 huko nchini Rwanda yanaweza pia yakatokea hapa nchini Tanzania.

Nawasilisha.
This is a good observation.. big up. Twende kazi tudadavue haya
 
kwani hii BBC ni mali ya nani?Na ule udongo wa makaniki ya dhahabu ni mali ya nan?Fikirieni nje ya box BBC ipo pale kutetea maslai ya wazungu sio yenu watz
 
Back
Top Bottom