Rais Dkt.John Magufuli Na Mkewe Mama Janet Magufuli Leo 01/09/2019 Wameshiriki Misa Takatifu Katika Kanisa Katoliki La Mtakatifu Petro Oysterbay

I wish I could be baba paroko kuna watu ningewafuta na kuwatenga ushirika,Heri uwe moto au baridi.Kuhubiria MTU sugu ni kumfukuru Mwenyezi Mungu.
 
maombi yake hayawezi kuvuka nguzo ya umeme huyu mzeee jamani ameumiza wengi ..kanisani anaenda kupoteza tu muda wake
 
Ni vizuri sana Rais wetu anasali kila jumapili. Sio kama Mkapa au Nyerere ambao hawakuwa wakisali kabisa labda siku maalum zenye matukio ya kitaifa.
Ndio maana hatukuwa tunaonyeshwa mapicha yao na mavideo kanisani.
Enzi zile kulikuwa hakuna magazeti mengi na uhuru wa habari kama miaka hii ya sasa.

Nyerere alikuwa anasali kila jumapili hapo hapo Saint Peters.
 
Kila lakheri Mr.president naomba utukumbuke watumishi..gharama za maisha zmepanda japo mshahara umebakia palepale..
 
Vipi hao walinzi waliosimama kanisani mzee anakuja sehemu ambayo hata yeye Mwenyewe ana imani nayo
 
Imani bila matendo ni bure kabisa sawa na dhihaka Kwa Mwenyezi Mungu. Amri za Mungu.
.Usiuwe.
.Usimsujudie jirani yako uongo ( usibambikie watu kesi)
.Usiibe ( kuwapora wakulima mazao yao,wastaafu haki yao,Watumishi nyongeza za mishahara,kuwafilisi na kutaifisha Mali zao)
.Wapende jirani zako ( usiwalipe chuki na visasi,usiwasomeshe namba,wafute machozi usiwalize).
 

Attachments

  • Screenshot_2019-09-01-13-17-39.png
    Screenshot_2019-09-01-13-17-39.png
    82.7 KB · Views: 13
View attachment 1194739

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth , Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019
so what? Rubbish
 
Atasaidiwa kupumuliwa kule wanaaotoa huo msaada sio wa kubahatisha 😂😂😂😂🔥🔥
Unacheka sababu hayajakukuta kuna siku yatakukuta kama si wewe basi mwanao

Utaelewa hichi nachoongea !

Uwe na siku njema
 
Sidhani kama amewaombea akina Erick Kabendera, Lisu, Azwory, Ben Sanane, Rugemalira etc.
Plus mashehe wa uamsho kama kaweza mtoa babu seya Kwa kutamka tu.Roho wa Bwana amguse mtumishi wake aliyebeba Amani ya Tz atamke neno tu na magereza yatakuwa wazi
 
Mkapa lilikuwa linasali kila Jumapili tena alikuwa hachagui sehemu moja ... popote itakapomkutia Jumapili lazima asali.

Machinga alikuwa ni mbabe msomi hakuwa katili na sadist kama FILL PROUD
 
Kwani PM wetu(Kassim) ni mkristo pia? Au walifunga ndoa ya Bomani na mkewe na kila mmoja akabaki na imani yake?
 
Duh
Ni vizuri sana Rais wetu anasali kila jumapili. Sio kama Mkapa au Nyerere ambao hawakuwa wakisali kabisa labda siku maalum zenye matukio ya kitaifa.
Ndio maana hatukuwa tunaonyeshwa mapicha yao na mavideo kanisani.
 
View attachment 1194739

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth , Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019

Hii imenikumbusha enzi za rais Moi huko Kenya. Enzi hizo alikuwa anasifiwa hata akienda sebuleni kula.
 
Maombi ya MTU mwenye dhambi ni chukizo mbele ya Mungu.
 

Attachments

  • Screenshot_2019-09-01-13-38-00.png
    Screenshot_2019-09-01-13-38-00.png
    740.4 KB · Views: 12
  • Screenshot_2019-09-01-13-38-55.png
    Screenshot_2019-09-01-13-38-55.png
    88.3 KB · Views: 10
  • Screenshot_2019-09-01-13-40-32.png
    Screenshot_2019-09-01-13-40-32.png
    165.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_2019-09-01-13-40-48.png
    Screenshot_2019-09-01-13-40-48.png
    206.6 KB · Views: 9
Hamjui ndio maana hamjafikiri zaidi

Leo dominika Ya22 mwaka c ambapo masomo yanatufundisha juu ya fadhila ya unyenyekevu ambayo hutupunguzia ubinafsi, kujikweza na ubwanyenye

Yoshua anatwambia" mwanangu unapofanikiwa kuwa mnyenyekevu, pia yesu anakwambia ukienda harusini usikae viti vya mbele subiri mwenye kalamu akusogeze pia ukiandaa harusi usiwaalike matajir ambao kuna siku watakudai uvirudishe lkn waalike na maskin, vilema vipofu n.k ili faida yako iwe baada ya maisha haya.

Walichungulia jana masomo ya leo akaona àende church tena akampitia mama wm ili wote wakaombe unyenyekevu, na hiyo picha ya toba inaonesha yuko kwenye deepest side of his mind
 
Back
Top Bottom