data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,138
- 22,709
Ha ha haaatypical psychopath, picha hadi kanisani.
Ha ha haaatypical psychopath, picha hadi kanisani.
Kwa Kassim Majaliwa Kassim,vipi ukikutana na Mufti ansemaje kuhusu hili?View attachment 1194739
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth , Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019
Wale ndio zaidi ila walikuwa hawatangazwiNi vizuri sana Rais wetu anasali kila jumapili. Sio kama Mkapa au Nyerere ambao hawakuwa wakisali kabisa labda siku maalum zenye matukio ya kitaifa.
Ndio maana hatukuwa tunaonyeshwa mapicha yao na mavideo kanisani.
Raisi anaishi maisha yake na Mungu wake, unamwambia anatafuta sifa, asingeenda kanisani then ungesema ni Jeuri. Ndugu jitaidi kuwa mstarabu basi, aliepewa kapewa, omba sana wewe, mbona Mungu si Kiziwi, atakuja kwako tu. Uwe na amani.Ni kutafuta sifa
Hivi marais walio mtangulia walikuwa hawana Dini?? Maana hatukuwa tuna onyeshwa haya ya awamu ya tano...View attachment 1194739
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth , Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019
heshimuni wenye mamraka inanainekana hata wazazi wako huwezi waheshimu raisi ni sawa na mzazi kwani yeye ni kiongozi wa nchi acha dharau na kejeliTumsifu Yesu Kristu huyu ni mpenda sifa anataka wakatoliki tumwonee huruma ,mjinga sana delete ,futakabisa
Jamii forum ilikuwepo enzi zao?Wale ndio zaidi ila walikuwa hawatangazwi
Mkapa lilikuwa linasali kila Jumapili tena alikuwa hachagui sehemu moja ... popote itakapomkutia Jumapili lazima asali.Wale ndio zaidi ila walikuwa hawatangazwi
Ni kutafuta sifa
Mkulima lazima na yeye atakua anasali ili alipwe mpunga wakeAsisahau kuombea "Ndege yake" iachiwe na mkulima.
Mungu wetu sote.Mkulima lazima na yeye anasali ili alipwe mpunga wake
Ni unafiki mtupu na show off ndiyo zimemjaa. Kwanza huyu alisha asi Ukatoliki miaka kadhaa kabla ya uchaguzi wa 2015. Anajipeleka kusali RC kudanganya umma tu kwa kuwa anajua RC ndilo dhehebu lenye influence nchini katika ukristo.View attachment 1194739
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth , Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019