Wewe siyo mkatoliki,nadhani ni mpagani tu wakatoliki hawapo hivo ulivyoTumsifu Yesu Kristu huyu ni mpenda sifa anataka wakatoliki tumwonee huruma ,mjinga sana delete ,futakabisa
punguani mkubwa wewe.Raisi anaishi maisha yake na Mungu wake, unamwambia anatafuta sifa, asingeenda kanisani then ungesema ni Jeuri. Ndugu jitaidi kuwa mstarabu basi, aliepewa kapewa, omba sana wewe, mbona Mungu si Kiziwi, atakuja kwako tu. Uwe na amani.
Afadhali wewe mwenye haki mbele za Mungu,mkisema hamna dhambi mwajidanganya wenyewe,Maombi ya mwenye dhambi ni chukizo mbele za Mungu!
Pia mama yake kabendera maana mwanae hawezi kupumua huko jelaAwaombee wazazi Azory na Ben Mola awafanyie wepesi ili wapite Salama kipindi hiki kigumu wakiwa na matumaini kuonana na wapendwa wao.
Kwa hiyo tufanyeje sasa?View attachment 1194739
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Janeth , Mama Marry Majaliwa (Mke wa Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa) pamoja na Waumini wengine wa Kanisa Katoliki wakishiriki Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Misa Takatifu Dominika ya 22 ya Mwaka “C” iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam. Ibada iliyoongozwa na Paroko Msaidizi Padre Dkt. Alista Makubi, Septemba 01,2019
Huyu dhambi zake kusamehewa inabidi aombe sana !Uzuri wa ukristo ni Upendo na kusamehe!
Jesus first Jesus Forever
Huniambii kitu kuhusu Yesu!
Omary Ndama
Wewe mwenye wivu ukimuona Raisi kaenda kanisani na Mimi niliyerizika na hari yangu nani punguani ? Wewe ndio una shida. Nakuombea Mungu akupe haja yako ili wivu ukupungue (Inawezekana) .punguani mkubwa wewe.
Huyu dhambi zake kusamehewa inabidi aombe sana !
Maombi tena si ya kitoto damu za watu wengi sana zinamlilia
Dah ila huyu jamaa sipati huko mbinguni wanavyo mmind kwa mishe zake hizi za kinafiki
Yaan bob ni mnafiki kichizi
Huyu jamaa ni mnafiki sanaKuna watu hata waombe vipi maombi yana dunda juu ya wingi wa dhambi.MTU mwenye dhambi unamchana live akirudi tena ibadani kweli ameokoka,taratibu zinakulinda ukiwa ndani ya church
Hivi marais walio mtangulia walikuwa hawana Dini?? Maana hatukuwa tuna onyeshwa haya ya awamu ya tano...
Atasaidiwa kupumuliwa kule wanaaotoa huo msaada sio wa kubahatisha 😂😂😂😂🔥🔥Pia mama yake kabendera maana mwanae hawezi kupumua huko jela
Pia mguu umepata shida
Aisee ila kama anaenda kanisani kila wiki kwanini watu wanafanyiwa mabaya na yeye yiko kimya?